Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Si useme kigoma tuu...Jewe ndili wi wachu idyaa kubha Diamond
Kwani lazima umtaje Diamond


Si useme kigoma tuu...Jewe ndili wi wachu idyaa kubha Diamond


basi usiwaze pachaSikumbuki Jose nan
I wish lee angekuepo asome![]()
hapana binamu haviwekwi mafuta ya taa wala ya kupikiaweeeeeeee, afanye arudi bhana maana akizidi kuchelewa itabidi maharage unayokula tutie vimafuta vya taa kidogo kama sekondari za bweni vile
Binamu wasambaa tunasema hongea
moyo unalia macho yanacheka asante binamu kesho naomba uniwekee my love is your love wa Whitney houston umfikie lee wangu huko alipo nimemmiss na ninampenda sana nipo nyuma yake![]()
Mh nina dada angu wa hiari anaitwa jina hilo binamuKumbe wewe ni wa TA, Hidaya ni ndugu yako maana mnafanana sana kwenye hiyo picha yako
Nawe pia joseAisee muwe na usiku mzuri..Mungu awaongoze vizuri ngoja nikapumzike....Grand salute sana kwenu
Mh nina dada angu wa hiari anaitwa jina hilo binamu
Kwa ambao mko mnakunywa bia ya serikali aka Safari lager na huku hupendi kucheza ili unapenda kuangalia wanaojimwayamwaya basi huyu hapa bibie Zuhura, maana sio kwa utamu wa kinanda huu
nashindwa kuunganisha dotii....ngoja mlinzii ajeeeNdio sababu lee mwembamb...
Kijana wa watu anaburn calories nyingi kukugeuza kitandani
napita pitaaaaakheee nan kakwambia lee mwembamba lee ni kibonge mwenzangu
Morning mkuu Lee, za siku telewakuu salaam
ni matumaini mu wazima kabisa ...kiukweli naimis sana familiaa hii ila sitasita kuja kusalimia pidi nipatapo ka time kama leo ..
heshima kwa kapuku wote nikitaja wengine ntawasahau ila nyote wageni na wenyeji love ya kutosha
shunie mama kipenzi nakumis sana na unajua vile namis ukivuruge wako ila sala zakp zinafika haswa
bhinamu obe simu ya tachi nimeikumbuka na ile uliyoniagiza nimeileta
mkuu Mondray heshima kwako
balozi bitoz
shimba ntapata ripoti
mama mchungaji nakumis
mkuu mr T and sakayo
baba paroko
nyagei
mndali
shemela le mushenga papaa
mkuu dikteta
shululu
mzee mkavu sijui walikuteka
snipes
na wengine wote nawamis
Hatari tupumwendo wakuskip bandugu ....kapuku hatari kwelikweli ...180k