Makapuku Forum

Makapuku Forum

49ec4cfcd6d838d96a8765c34871885e.jpg
Haaaaahaaaa
 
Antoine Griezmann - Namba 7

Amekuwa akipenda kuvaa jezi namba 7 kwaheshima ya David Beckham ambaye anamtaja kama ndio " Role Model " wake wakati anakua. Pia anapenda kuvaa jezi za mikono mirefu kama ambavyo David Beckham alikuwa akifanya enzi zake akicheza mpira.

hapa akiwa Real Sociedad
2c3f532480524c8c9fe5b1c46db1c4f4.jpg


Hapa akiwa Atletico Madrid
antoine-griezmann-alaves-atletico-madrid-la-liga_n7ebaefjf4ej1ryq267ipj5th.jpg


Timu ya taifa ya Ufaransa
360DE81E00000578-0-image-m-16_1467967822080.jpg
Mimi huwa nampenda namna anavvyoshangilia akifunga gori
 
Daniele De Rossi - Namba 16

Staa huyu wa As Roma na timu ya Taifa ya Italy hupenda kuvaa jezi namba 16 kwasababu kuu mbili.
Moja, ni kuwa Mtoto wake aitwae Gaia alizaliwa tarehe 16.
Mbili, Anapenda kuvaa namba 16 ikiwa ni heshima kwa Kepteni wa zamani wa Man Utd, Roy Keane aliyekuwa anavaa jezi namba 16 akiwa Man Utd.

Hapa akiwa na As Roma
Daniele+De+Rossi+Roma+v+Aris+Thessaloniki+ofJ457rSKFbl.jpg


Akiwa na timu ya taifa ya Italy
article-0-1E5EA3BE00000578-348_634x435.jpg
Alitegemewa sana kufanya miujiza kwenye soka, lakini alishindwa
 
Asamoah Gyan - Namba 3

Staa huyu wa Ghana amekuwa akivaa namba 3 akiamini kuwa ndio namba yake ya bahati.

Ghana
Asamoah-Gyan.jpg


Al Ahli
gyan-signs-for-al-ahli.jpg


Alipokuwa Sunderland alikuta Jezi namba 3 ina mtu, akaamua kui-double namba 3 na kuwa 33.
Asamoah+Gyan+Everton+v+Sunderland+Premier+oA19AiuBejal.jpg
Tangu akose penati kwenye word cup dhidi ya Paraguay, nilimuondoa kabisa kwenye list ya wachezaji wa timu zao za Africa waliosaidia timu kufanya vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom