Makapuku Forum

Makapuku Forum

8/Daisy & Violet Hilton
a8f69854076778980050a535007054e3.jpg
6c2de55ba9831a87cf2986546f64473a.jpg

Hawa walizaliwa 1908 mama yao akiwa binti wa miaka 19
Mama yao alikuwa ni baamedi na sistaduu Hivyo kuamua kuwauza kwa bosi wake( namaainisha kuwauza km unavyouza vitu dukani)
Huyo jamaa akawaweka showroom na kuingiza pesa kutokana na burudani yao iliyotukuka
Wakatekwa na wafanyabiashara wengine na kuanza kuwatembeza sehemu mbalimbali duniani
.......
Dunia ina mambo
 
Mario Balotelli - Namba 45

Straika Mario Balotelli amekuwa akivaa jezi namba 45 ambapo sababu kuu ni kuwa 4 +5 = 9.
Hivyo anapokuwa anavaa namba 45 ni sawa amevaa namba 9.

Pia alipovaa namba 45 kwa mara ya kwanza akiwa Inter Milan alifunga mechi nne mfululizo hivyo akaamua aendelee na namba hiyo.

Inter Milan
FILE-AC-Milan-Agree-Deal-With-Manchester-City-For-Mario-Balotelli-FC-Internazionale-Milano-v-Udinese-Calcio-Serie-A.jpg


Ac Milan
golazo-super-mario-balotelli-ac-milan-1-0-v-bologna.jpg


Man City
skysports-mario-balotelli-roberto-mancini-balotelli_3807838.jpg


Liverpool
1408982652116_wps_20_LIVERPOOL_ENGLAND_AUGUST_.jpg
Nyongeza
f339bf80140208ae6d47ea23088ad96a.jpg

Anavaa namba 9 katika timu ya Nice
3d9614676e68800e0911ca10631c4587.jpg
 
2/Ladan & Laleh Bijani
7846fc0ebcf3a57dca70066597beeebe.jpg
94b3f47527299d5549051b7e1f25670b.jpg
4d07e64ffb666f27d9f182396b5bc8d5.jpg
Hawa walizaliwa Iran mwaka 1979 wakati wa mapinduzi hali iliyopelekea kuwa chini ya matunzo ya daktari hadi miaka michache baadaye
Walikuwa wakitofautiana kwa mambo mengi mfano mmoja alitaka kuwa Wakili huku mwingine alitaka kuwa mwandishi wa habari hali iliyopelekea watamani kutenganishwa japo walielezwa Ni hatari
Wakati wa operesheni ya kuwatenganisha walikuwepo madaktari bingwa wa upasuaji 28 pamoja na wahudumu 100
Baada ya kutenganishwa wakafariki masaa machache baadaye
.......
 
2/Ladan & Laleh Bijani
7846fc0ebcf3a57dca70066597beeebe.jpg
94b3f47527299d5549051b7e1f25670b.jpg
4d07e64ffb666f27d9f182396b5bc8d5.jpg
Hawa walizaliwa Iran mwaka 1979 wakati wa mapinduzi hali iliyopelekea kuwa chini ya matunzo ya daktari hadi miaka michache baadaye
Walikuwa wakitofautiana kwa mambo mengi mfano mmoja alitaka kuwa Wakili huku mwingine alitaka kuwa mwandishi wa habari hali iliyopelekea watamani kutenganishwa japo walielezwa Ni hatari
Wakati wa operesheni ya kuwatenganisha walikuwepo madaktari bingwa wa upasuaji 28 pamoja na wahudumu 100
Baada ya kutenganishwa wakafariki masaa machache baadaye
.......
Wapumzike kwa amani
 
2/Ladan & Laleh Bijani
7846fc0ebcf3a57dca70066597beeebe.jpg
94b3f47527299d5549051b7e1f25670b.jpg
4d07e64ffb666f27d9f182396b5bc8d5.jpg
Hawa walizaliwa Iran mwaka 1979 wakati wa mapinduzi hali iliyopelekea kuwa chini ya matunzo ya daktari hadi miaka michache baadaye
Walikuwa wakitofautiana kwa mambo mengi mfano mmoja alitaka kuwa Wakili huku mwingine alitaka kuwa mwandishi wa habari hali iliyopelekea watamani kutenganishwa japo walielezwa Ni hatari
Wakati wa operesheni ya kuwatenganisha walikuwepo madaktari bingwa wa upasuaji 28 pamoja na wahudumu 100
Baada ya kutenganishwa wakafariki masaa machache baadaye
.......
RIP
 
1/Giaconno & Giovanni Battista
4549fbaa0935526d835cdc1ff7bea12c.jpg
19d08e22ae2496bb7c2d7f4d132dccd9.jpg

Hawa walizaliwa mwaka 1877
Kuungana kwao kulisababisha washindwe kutembea na kutumia kiti cha magurudumu maisha yao yote
Walifanya ziara mbalimbali kwa kipindi cha miaka 20
Walifanikiwa kuoa wanawake tofauti

Mwisho
Tukutane J3
............
 
1/Giaconno & Giovanni Battista
4549fbaa0935526d835cdc1ff7bea12c.jpg
19d08e22ae2496bb7c2d7f4d132dccd9.jpg

Hawa walizaliwa mwaka 1877
Kuungana kwao kulisababisha washindwe kutembea na kutumia kiti cha magurudumu maisha yao yote
Walifanya ziara mbalimbali kwa kipindi cha miaka 20
Walifanikiwa kuoa wanawake tofauti

Mwisho
Tukutane J3
............
Ahsante mkuu Bitoz kwa top ten murua kabisa.

Ila nimebakiwa na maswali waliwezaje kuoa wakiwa hivyo?
 
1/Giaconno & Giovanni Battista
4549fbaa0935526d835cdc1ff7bea12c.jpg
19d08e22ae2496bb7c2d7f4d132dccd9.jpg

Hawa walizaliwa mwaka 1877
Kuungana kwao kulisababisha washindwe kutembea na kutumia kiti cha magurudumu maisha yao yote
Walifanya ziara mbalimbali kwa kipindi cha miaka 20
Walifanikiwa kuoa wanawake tofauti

Mwisho
Tukutane J3
............
Asante bitoz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom