Makapuku Forum

Makapuku Forum

2003 - Walter Sisulu anafariki Dunia.

Alikuwa ni mwanaharakati dhidinya Ubaguzi wa rangi, Katibu Mkuu wa chama cha ANC na mwanasiasa mashuhuri aliyekuwa na nguvu kubwa ya ushawishi huko Afrika Kusini.

Alifungwa jela miaka 25 katika gereza la visiwa vya Robben na utawala wa Makaburu.

Ni mmoja ya Viongozi na Watu wanaoheshimika nchini Afrika ya Kusini hata baada ya kifo chake kando ya Nelson Mandela, Oliver Tambo, Desmomd Tutu nk.
 
2003 - Walter Sisulu anafariki Dunia.

Alikuwa ni mwanaharakati dhidinya Ubaguzi wa rangi, Katibu Mkuu wa chama cha ANC na mwanasiasa mashuhuri aliyekuwa na nguvu kubwa ya ushawishi huko Afrika Kusini.

Alifungwa jela miaka 25 katika gereza la visiwa vya Robben na utawala wa Makaburu.

Ni mmoja ya Viongozi na Watu wanaoheshimika nchini Afrika ya Kusini hata baada ya kifo chake kando ya Nelson Mandela, Oliver Tambo, Desmomd Tutu nk.
Pumzika kwa amani Walter Sisulu
 
1972 - Clyde Tolson anastaafu rasmi kama Naibu Mkurugenzi wa shirika la upelelezi la Marekani FBI.

Hiyi ni baada ya kuandika barua ya kujiuzulu wadhifa wake siku chache tangu kutokea kwa kifo cha swahiba wake wa siku nyingi J. Edgar Hoover.

Ikumbukwe Hoover na Tolson walikuwa ni marafiki wa karibu sana ambao waliongozana wote kwenda kazini, kwenye chakula hata sehemu za starehe kama vile club.

Alipokuja kufariki, Tolson alizikwa karibu na kaburi la Hoover.

Nae hakuwahi kuoa wala kupata mtoto.
Kaah! Hawa jamaa walikuwa washenzi watupu
 
Leo katika Historia:

1925 - Serikali ya Afrika Kusini yatangaza lugha ya Afrikaans kuwa lugha rasmi nchini humo
d05c8e5b1eadcde26d9be80bf96a7362.jpg

Kibantubantu
......
 
1972 - Clyde Tolson anastaafu rasmi kama Naibu Mkurugenzi wa shirika la upelelezi la Marekani FBI.

Hiyi ni baada ya kuandika barua ya kujiuzulu wadhifa wake siku chache tangu kutokea kwa kifo cha swahiba wake wa siku nyingi J. Edgar Hoover.

Ikumbukwe Hoover na Tolson walikuwa ni marafiki wa karibu sana ambao waliongozana wote kwenda kazini, kwenye chakula hata sehemu za starehe kama vile club.

Alipokuja kufariki, Tolson alizikwa karibu na kaburi la Hoover.

Nae hakuwahi kuoa wala kupata mtoto.
20722e5a83e1c2fa6e000a01a307490a.jpg
d444461278570f612aa775660116c4a5.jpg
Hata uvaaji wao ilikuwa ni wa kufanana
Wakiwa kwenye matukio mbalimbali walivaa nguo zilizofanana
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom