Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
1989 - Chris Brown anazaliwa.
Muimbaji wa muziki toka nchini Marekani.
Muimbaji wa muziki toka nchini Marekani.
Salama mkuuwakuu niaje humu mkuu shululu asante sana kwa magazeti naomba ripoti mkuu
RIP Bobby Sands1981 - Bobby Sands anafariki Dunia mara baada ya mgomo wa kutokula kwa siku 66 huko katika Hospitali ya Gereza la Long Kesh nchini Ireland.
HBD Yossi Benayoun1980 - Yossi Benayoun anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa West Ham, Liverpool, Chelsea, Arsenal na timu ya taifa ya Israel.
HBD Emanuelle Giaccherini1985 - Emanuele Giaccherini anazaliwa.
Kiungo mshambuliaji wa Napoli, ambaye pia amaewahi kupitia timu za Juventus na Sunderland.
Huchezea timu ya taifa ya Italy.
HBD Adele1988 - Adele anazaliwa.
Nyota na muimbaji wa muziki toka nchini Uingereza.
HBD Chriss Brown1989 - Chris Brown anazaliwa.
Muimbaji wa muziki toka nchini Marekani.
Pumzika kwa amani Walter Sisulu2003 - Walter Sisulu anafariki Dunia.
Alikuwa ni mwanaharakati dhidinya Ubaguzi wa rangi, Katibu Mkuu wa chama cha ANC na mwanasiasa mashuhuri aliyekuwa na nguvu kubwa ya ushawishi huko Afrika Kusini.
Alifungwa jela miaka 25 katika gereza la visiwa vya Robben na utawala wa Makaburu.
Ni mmoja ya Viongozi na Watu wanaoheshimika nchini Afrika ya Kusini hata baada ya kifo chake kando ya Nelson Mandela, Oliver Tambo, Desmomd Tutu nk.
Amen asante kwa historia mkuu Mussolin5 kazi yako ni njema ubarikiweLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Hivi sauti yake ikoje?woyoooooooo in baba mchuchu's voice nalalaaaaa
Kaah! Hawa jamaa walikuwa washenzi watupu1972 - Clyde Tolson anastaafu rasmi kama Naibu Mkurugenzi wa shirika la upelelezi la Marekani FBI.
Hiyi ni baada ya kuandika barua ya kujiuzulu wadhifa wake siku chache tangu kutokea kwa kifo cha swahiba wake wa siku nyingi J. Edgar Hoover.
Ikumbukwe Hoover na Tolson walikuwa ni marafiki wa karibu sana ambao waliongozana wote kwenda kazini, kwenye chakula hata sehemu za starehe kama vile club.
Alipokuja kufariki, Tolson alizikwa karibu na kaburi la Hoover.
Nae hakuwahi kuoa wala kupata mtoto.

Leo katika Historia:
1925 - Serikali ya Afrika Kusini yatangaza lugha ya Afrikaans kuwa lugha rasmi nchini humo
1972 - Clyde Tolson anastaafu rasmi kama Naibu Mkurugenzi wa shirika la upelelezi la Marekani FBI.
Hiyi ni baada ya kuandika barua ya kujiuzulu wadhifa wake siku chache tangu kutokea kwa kifo cha swahiba wake wa siku nyingi J. Edgar Hoover.
Ikumbukwe Hoover na Tolson walikuwa ni marafiki wa karibu sana ambao waliongozana wote kwenda kazini, kwenye chakula hata sehemu za starehe kama vile club.
Alipokuja kufariki, Tolson alizikwa karibu na kaburi la Hoover.
Nae hakuwahi kuoa wala kupata mtoto.
1981 - Bobby Sands anafariki Dunia mara baada ya mgomo wa kutokula kwa siku 66 huko katika Hospitali ya Gereza la Long Kesh nchini Ireland.
1980 - Yossi Benayoun anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa West Ham, Liverpool, Chelsea, Arsenal na timu ya taifa ya Israel.
Pamoja mkuu musoliniShukrani kwa magazeti mkuu.
Obe Asanteasante sana mdau kwa kipengele hiki cha magazeti. Unatufanya twende na wakati sana kwa kusoma habari tofauti tofauti