Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahahahha, hata mimi mechi za alhamisi zinanifurahishaga sana, napata kigagazito, niangalie Futuhi au niangalie ManU.
Kwa vile ni siku ya vichekesho naangalia zote
Kwa mwanaume aliyekamilika kweli aangalie futuhi badala ya mpira??

Anyway tunatofautiana interests
 
Bandwagon fans [emoji23][emoji23][emoji23]
c0bbae4f8f7537a935c6116b941c5716.jpg
The last time when I was bandwagon fan it was a 2003 Arsenal vs Man United

FT Arsenal 0-1 Man United (Carling Cup)
 
Usiku mwema Makapuku
Damu ya Yesu kristo ikawafunike na kuwabariki kwa Baba na mwana na roho mtakatifu [emoji120] [emoji120] [emoji120]

Ijumaa ya leo kuna London derby Msisahau.
 
[emoji524] ZABURI 4


Katika Amani nitajilaza na kupata usingizi mara,Maana wewe ,BWANA .peke yako ,Ndiwe unijaliaye kukaa salama.


MBARIKIWE[emoji7] [emoji7] [emoji7]
 
Back
Top Bottom