Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahahahha, hata mimi mechi za alhamisi zinanifurahishaga sana, napata kigagazito, niangalie Futuhi au niangalie ManU.
Kwa vile ni siku ya vichekesho naangalia zote
Kwa mwanaume aliyekamilika kweli aangalie futuhi badala ya mpira??

Anyway tunatofautiana interests
 
Bandwagon fans
c0bbae4f8f7537a935c6116b941c5716.jpg
The last time when I was bandwagon fan it was a 2003 Arsenal vs Man United

FT Arsenal 0-1 Man United (Carling Cup)
 
ZABURI 4


Katika Amani nitajilaza na kupata usingizi mara,Maana wewe ,BWANA .peke yako ,Ndiwe unijaliaye kukaa salama.


MBARIKIWE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom