Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Imeshindahalaf T jana kaniambia man u imefunga kumbe uongo
Imeshindahalaf T jana kaniambia man u imefunga kumbe uongo
Mkongwe aliyelitendea haki dimbaAndrea Pirlo - Namba 21
Pirlo amekuwa muumini mzuri wa namba 21 kwasababu ni tarehe ya kuzaliwa kwa baba yake mzazi.
New York Fc
![]()
Ac Milan
![]()
Juventus
![]()
Italy
![]()
Pesa makaratasiHASARA ROHO!!
Basi sawaNdiooo
National team aliikosa no4Francesc " Cesc " Fabregas - Namba 4
Kiungo huyu matata ni mpenzi wa jezi namba 4 kutokana na sababu kuu mbili.
Moja, Ni tarehe yake ya kuzaliwa.
Mbili, Ni jezi iliyokuwa inavaliwa na Pep guardiola ambaye amemtaja kama role model wake.
Arsenal
![]()
Barcelona
![]()
Chelsea
![]()
Fabregas kwa timu ya taifa ya Hispania, amekuwa akivaa jezi namba 10.
Aisee, usikute na no yake ya bahati ni 9Mario Balotelli - Namba 45
Straika Mario Balotelli amekuwa akivaa jezi namba 45 ambapo sababu kuu ni kuwa 4 +5 = 9.
Hivyo anapokuwa anavaa namba 45 ni sawa amevaa namba 9.
Pia alipovaa namba 45 kwa mara ya kwanza akiwa Inter Milan alifunga mechi nne mfululizo hivyo akaamua aendelee na namba hiyo.
Inter Milan
![]()
Ac Milan
![]()
Man City
![]()
Liverpool
![]()
Kama vipnilikua namsubili kwa hamu napenda sana vituko vyake
Umesema vyema mama mchungajiNimo dunia hii hii na nyie ndio wanangu inabidi nijue mengi niwe najua pa kuanzia![]()
Huyu jamaa tatizo lake utulivu tu ni ziro, angetulia angekuwa mfungaji mmoja mzuri sanaNakumbuka goli alizotupiga pale Old Trafford siku ile chungu tukafa 6...Man City ile ilikuwa moto ndo kuanzia Hapo tukaanza kuitwa "Mansita Utd" kitaani![]()
Sitaisahau jinamizi la Super Mario
......
Fainali nyingi hajacheza pia, huwa zinamkuta ana kadi au majeruhi, kumbuka 2002 world cup Japan na KoreaKweli ina mkosi mkubwa
Karibu kila Fainali aliyoweka mguu na mjezi wake timu ziliambulia vipigo tu...
........
Asante musoliniKwa leo sina la ziada, tukutane next time!
Guardiola, Role model wa Fabregas.
![]()
Rudi Voller, Role model wa Ballack
![]()
![]()
Mechi hiyo nilikuwa arusha, city ParkIlikuwa ni moja ya siku mbaya sana nikiwa kama shabiki wa Man Utd.
AiseeTOP TEN![]()
Maria na Consolata ndo mapacha walioungana maarufu zaidi nchini
Sasa tuangalie wale waliotikisa ulimwengu. ..km kawaida Waafrika hatutunzi kumbukumbu wala kujianika hivyo list nzima hakuna Waafrika
Karibuni
..........
Kumbe umeishi mwanza Bailly5Hii nakumbuka nilikuwa Mwanza aisee. Tunapigwa sita
Miujiza ya Mungu hiyo10/Abby & Brittany Hensel![]()
![]()
![]()
Walizaliwa 1990 wazazi wao wakaambiwa hawataishi zaidi ya usiku mmoja lakini miaka 22 baadaye wakaanza masomo Chuo Kikuu
Wana mioyo miwili, mapafu pea mbili, na ubongo kila mtu na wake ila mmoja anatawala upande wa kushoto huku mwingine Julia
Kila mtu ana leseni yake ya udereva, wanaendesha baiskeli , gari na kushirikiana mambo mengi
.......
Duh!9/Chang & Eng Bunker![]()
![]()
Walizaliwa 1811 huko Sir am(Thailand ya sasa)
Mwanzo ilionekana ni rahisi kuwatenganisha lakini Madaktari wa kipindi wakagundua ni hatari kwa uhai wao hivyo wakaghairi
Hawa walikuwa wajanjawajanja hivyo hawakulala njaa walishiriki matamasha na kupiga shoo na kuvuta mkwanja
Walifanikiwa kuwa maarufu na kuizunguka dunia
.......
Mwaka 1998Mussolin5. Nimeona picha ya Guardiola (Barca) akikabwa na Dennis Bergkamp (Arsenal). Ilikuwa UCL mwaka gani?