Makapuku Forum

Makapuku Forum

Andrea Pirlo - Namba 21

Pirlo amekuwa muumini mzuri wa namba 21 kwasababu ni tarehe ya kuzaliwa kwa baba yake mzazi.

New York Fc
1200px-Andrea_Pirlo_NYCFC.JPG


Ac Milan
duo.jpg


Juventus
Andrea+Pirlo+Juventus+v+Livorno+Calcio+Or8FH4iG_56l.jpg


Italy
1789eea4421c8ba7cd4e11b97f1a1063.jpg
Mkongwe aliyelitendea haki dimba
 
5/Eliza & Mary Chalkhurst
77861010e6353423de9c6e935bb667fa.jpg
Hawa walizaliwa nchini England 1100
Ndio mapacha walioungana wa mwanzo kabisa kufahamika
Waliungana sehemu za mapajani japo picha zingine zinaonesha pia begani
Walifariki mnamo mwaka 1136 ambapowaliagiza pesa zao zilizopatikana kutokana na umaarufu wao zitumike kusaidia maskini na wasiojiweza kijijini kwao
.......
 
Francesc " Cesc " Fabregas - Namba 4

Kiungo huyu matata ni mpenzi wa jezi namba 4 kutokana na sababu kuu mbili.
Moja, Ni tarehe yake ya kuzaliwa.
Mbili, Ni jezi iliyokuwa inavaliwa na Pep guardiola ambaye amemtaja kama role model wake.

Arsenal
gun__1284737875_fabregas_wilshere.jpg


Barcelona
5399c2a9e90fd_cesc2.jpg


Chelsea
Cesc-Fabregas.jpg


Fabregas kwa timu ya taifa ya Hispania, amekuwa akivaa jezi namba 10.
National team aliikosa no4
 
Mario Balotelli - Namba 45

Straika Mario Balotelli amekuwa akivaa jezi namba 45 ambapo sababu kuu ni kuwa 4 +5 = 9.
Hivyo anapokuwa anavaa namba 45 ni sawa amevaa namba 9.

Pia alipovaa namba 45 kwa mara ya kwanza akiwa Inter Milan alifunga mechi nne mfululizo hivyo akaamua aendelee na namba hiyo.

Inter Milan
FILE-AC-Milan-Agree-Deal-With-Manchester-City-For-Mario-Balotelli-FC-Internazionale-Milano-v-Udinese-Calcio-Serie-A.jpg


Ac Milan
golazo-super-mario-balotelli-ac-milan-1-0-v-bologna.jpg


Man City
skysports-mario-balotelli-roberto-mancini-balotelli_3807838.jpg


Liverpool
1408982652116_wps_20_LIVERPOOL_ENGLAND_AUGUST_.jpg
Aisee, usikute na no yake ya bahati ni 9
 
4/Millie & Christine Mc Coy
348cc041185a92b515ed05f547e5be52.jpg
e958379c587bb7007321069c1aeec225.jpg

Walizaliwa huko North Carolina 1851 wazazi wao wakiwa ni watumwa
Waliuzwa wangali wakiwa wadogo ili watumike kuburudisha kwenye matamasha mbalimbali
Wakiwa kwenye shoo walitekwa na kupekekwa huko Uingereza pia kwenye matamasha ya kucheza na kuimba
Walifariki wakiwa na miaka 61
..........
 
10/Abby & Brittany Hensel
26b12e4ffdf03f49b9a5f25181317651.jpg
2f55946f7fb7c369828704f2d2e2e268.jpg
053e17f620363cce382d2145029e9469.jpg

Walizaliwa 1990 wazazi wao wakaambiwa hawataishi zaidi ya usiku mmoja lakini miaka 22 baadaye wakaanza masomo Chuo Kikuu
Wana mioyo miwili, mapafu pea mbili, na ubongo kila mtu na wake ila mmoja anatawala upande wa kushoto huku mwingine Julia
Kila mtu ana leseni yake ya udereva, wanaendesha baiskeli , gari na kushirikiana mambo mengi
.......
Miujiza ya Mungu hiyo
 
9/Chang & Eng Bunker
a9e94baf63c20aa549f81f66f1ae7435.jpg
2238f27c417a06396dc4c43565a86cbf.jpg

Walizaliwa 1811 huko Sir am(Thailand ya sasa)
Mwanzo ilionekana ni rahisi kuwatenganisha lakini Madaktari wa kipindi wakagundua ni hatari kwa uhai wao hivyo wakaghairi
Hawa walikuwa wajanjawajanja hivyo hawakulala njaa walishiriki matamasha na kupiga shoo na kuvuta mkwanja
Walifanikiwa kuwa maarufu na kuizunguka dunia
.......
Duh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom