Makapuku Forum

Makapuku Forum

1981 - Craig David anazaliwa.

Muimbaji nyota wa muziki kutoka nchini Uingereza.
3dc53497dfa83e6d3c7fbabe3a6bccc8.jpg
98b517970fb265bdd07d010061bac968.jpg

Huimba taratibu km taarabu
.....
 
2003 - Walter Sisulu anafariki Dunia.

Alikuwa ni mwanaharakati dhidinya Ubaguzi wa rangi, Katibu Mkuu wa chama cha ANC na mwanasiasa mashuhuri aliyekuwa na nguvu kubwa ya ushawishi huko Afrika Kusini.

Alifungwa jela miaka 25 katika gereza la visiwa vya Robben na utawala wa Makaburu.

Ni mmoja ya Viongozi na Watu wanaoheshimika nchini Afrika ya Kusini hata baada ya kifo chake kando ya Nelson Mandela, Oliver Tambo, Desmomd Tutu nk.
39b942abafa4f4286bbd8a477d0182b8.jpg
bcf2d7d37a552b115710f5f96e6f0df8.jpg

Makaburu noma sana kila mwanaharakati walimuonjesha jela
Kagame swahiba ake Sizonje nae ndo staili yake ikishindikana unauawa kimyakimya

Shukrani mkuu
Tukutane jioni
.........
.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom