Makapuku Forum

Makapuku Forum

49ec4cfcd6d838d96a8765c34871885e.jpg
 
Antoine Griezmann - Namba 7

Amekuwa akipenda kuvaa jezi namba 7 kwaheshima ya David Beckham ambaye anamtaja kama ndio " Role Model " wake wakati anakua. Pia anapenda kuvaa jezi za mikono mirefu kama ambavyo David Beckham alikuwa akifanya enzi zake akicheza mpira.

hapa akiwa Real Sociedad
2c3f532480524c8c9fe5b1c46db1c4f4.jpg


Hapa akiwa Atletico Madrid
antoine-griezmann-alaves-atletico-madrid-la-liga_n7ebaefjf4ej1ryq267ipj5th.jpg


Timu ya taifa ya Ufaransa
360DE81E00000578-0-image-m-16_1467967822080.jpg
 
Daniele De Rossi - Namba 16

Staa huyu wa As Roma na timu ya Taifa ya Italy hupenda kuvaa jezi namba 16 kwasababu kuu mbili.
Moja, ni kuwa Mtoto wake aitwae Gaia alizaliwa tarehe 16.
Mbili, Anapenda kuvaa namba 16 ikiwa ni heshima kwa Kepteni wa zamani wa Man Utd, Roy Keane aliyekuwa anavaa jezi namba 16 akiwa Man Utd.

Hapa akiwa na As Roma
Daniele+De+Rossi+Roma+v+Aris+Thessaloniki+ofJ457rSKFbl.jpg


Akiwa na timu ya taifa ya Italy
article-0-1E5EA3BE00000578-348_634x435.jpg
 
Nicolas Anelka - Namba 39
Straika wa zamani wa Chelsea, Man City, Fernabache, Bolton amekuwa akipenda kuvaa jezi namba 39 ikiwa ni namba yake ya bahati anayoipenda.

Chelsea
Chelsea+v+Tottenham+Hotspur+Premier+League+4BeuwBPtFrLl.jpg


Man City
P1000182.JPG


West Bromwich Albion
anelka-number-39-a151-896845_478x359.jpg

396ad10771fb1fb57cf37bae3e7d716d.jpg


Ufaransa
l-equipe-de-france-de-football-anelka-soutient-pogba-397473.jpg


Bolton Wonderers
nicolas_anelka_l_celebrates_scoring_the_first_goal_for_bolton_wa_416956.jpg


Fenerbahce
8pm_sha.jpg
 
Asamoah Gyan - Namba 3

Staa huyu wa Ghana amekuwa akivaa namba 3 akiamini kuwa ndio namba yake ya bahati.

Ghana
Asamoah-Gyan.jpg


Al Ahli
gyan-signs-for-al-ahli.jpg


Alipokuwa Sunderland alikuta Jezi namba 3 ina mtu, akaamua kui-double namba 3 na kuwa 33.
Asamoah+Gyan+Everton+v+Sunderland+Premier+oA19AiuBejal.jpg
 
Luis Nani - Namba 17

Winga huyu wa Kireno amekuwa akitumia namba 17 katika jezi zake ikiwa ni tarehe yake ya kuzaliwa.
Alizaliwa tarehe 17 November 1986.

Ureno
maxresdefault.jpg


Fenerbahce
s-bec2bc6c8479b371caad987ff36508b8b7df9968.jpg


Man Utd
Luis+Nani+Arsenal+v+Manchester+United+Premier+6daskCEdXEpl.jpg


Valencia
13_NoticiaAmpliada.jpg
 
Antoine Griezmann - Namba 7

Amekuwa akipenda kuvaa jezi namba 7 kwaheshima ya David Beckham ambaye anamtaja kama ndio " Role Model " wake wakati anakua. Pia anapenda kuvaa jezi za mikono mirefu kama ambavyo David Beckham alikuwa akifanya enzi zake akicheza mpira.

hapa akiwa Real Sociedad
2c3f532480524c8c9fe5b1c46db1c4f4.jpg


Hapa akiwa Atletico Madrid
antoine-griezmann-alaves-atletico-madrid-la-liga_n7ebaefjf4ej1ryq267ipj5th.jpg


Timu ya taifa ya Ufaransa
360DE81E00000578-0-image-m-16_1467967822080.jpg
Duh
Kumbe ndo sababu nilifikiri anamuiga CR7
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom