Makapuku Forum

Ndugu yangu mmoja yeye alijionggeza, alianza kufanya biashara zake huku anaffanya kazi lakini akijua kuwa hana chake tena kazini, alijitengenezea mazingira ya kutokuwa na pressure baada ya kutumbuliwa
Ndugu yako aliona mbali. Haya mambo wakati mwingine mtu unajisahau hasa ukizingatia kuwa haijawahi kutokea operesheni ya aina hii huko nyuma. Imagine wengine wamefanya kazi miaka 25+ na leo wamekumbwa na hii dhamana. Tena nasikia hata mafao yao wanayaminya kwa sababu nayo eti ni "haramu". Mtu unakaribia kustaafu halafu hili linakutokea. Ni mtihani mkubwa sana!
 
Hiyo ikawa chachu ya yeye kumfuta babaye machozi
 
Huyo nyoka alifikaje mgongoni? Hata mimi nikisali na kukemea tatizo linaisha ila ikitokea nikaona mende hasa usiku nightmare zinajirudia. Naota mamende makubwa kama bajaji yananinyemelea halafu sasa nakuwa kama nimeganda kukimbia siwezi na nakuwa niko nusu macho na naweza kusikia kinachoendelea mf. maongezi n.k. Sijui ni mapepo haya au nini hii mtumishi?
 


DUNIA INA MENGI
 
Mm kidogo ninshike kwenye kitasa asubuhi alikua kajivingirisha
Vijijini huko Kolomije nyoka jambo la kawaida sana na nimeshawakanyaga mno japo nina bahati hawajawahi kuning'ata. Hata hivyo nina urafiki wa ajabu na nge na nilikuwa sipitishi mwezi bila kung'atwa. Muziki wake nao si wa mchezo hasa akikung'ata sawasawa.

Naenda kuanza form one boarding naweka tu sweta mgongoni akanitandika. Aisee safari ya masaa manane kwenye basi nilikwenda naugulia maumivu...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…