Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo Katka Historia:

1844 - Jeshi la Polisi la Hong Kong laanzishwa.

Ndio jeshi la polisi la pili kwa Ukongwe duniani.

Pia ni jeshi la polisi la kwanza barani Asia.
3090bd64f715fe0096c15ee6d1836ccc.jpg






56a338b6c2aff2bb8fff6699787b560f.jpg
 
1968 - Oliver Bierhoff anazaliwa.

Mshambuliaji wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Ujerumani.

Ndio mchezaji wa kwanza kufunga goli la dhahabu toka lilipoanzishwa. Alifanya hivyo katika michuano ya Euro mwaka 1996 pale England ambapo Ujerumani ilitwaa ubingwa huo.

Mmoja kati ya wanasoka wa Kijerumani ambao hawajawahi kuchezea Bayern Munich.

Kwasasa ni meneja wa timu ya taifa ya Ujerumani.
 
1968 - Oliver Bierhoff anazaliwa.

Mshambuliaji wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Ujerumani.

Ndio mchezaji wa kwanza kufunga goli la dhahabu toka lilipoanzishwa. Alifanya hivyo katika michuano ya Euro mwaka 1996 pale England ambapo Ujerumani ilitwaa ubingwa huo.

Mmoja kati ya wanasoka wa Kijerumani ambao hawajawahi kuchezea Bayern Munich.

Kwasasa ni meneja wa timu ya taifa ya Ujerumani.
29fac1f174ef9d6afd38fb842398cfd5.jpg
c3890879b5b7f2aaa09915dc65cc2eaf.jpg
33c34971cb0fbe1d28f1a55d691ab1ed.jpg

Bora limefutwa linaumiza sana
Nakumbuka David Trezeguet alivyowaua Wataliano Euro 2000
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom