Makapuku Forum

Makapuku Forum

ebdb8e9ba0f01fe1d2450eb92e290bfc.jpg
Kudadadadadek hapo hujanipitisha!!!
 
Baada ya kupitia magazeti mubashara kabisa Sasa ni zamu ya ratiba ya mechi za leo
Tuanzie Ubelgiji
Belgium playoffs
Ikumbukwe kuwa ligi ya Ubelgiji ilishakwisha na sasa timu zinacheza mechi za kutafuta wa kufuzu kwenda kwenye michuano ya ulaya, timu ya Samatta yenyewe ipo kundi b ikigombania kwenda kushiriki michuano ya shirikisho Eufa europa
37638a712e6cd6ca16c274ffa7340e36.jpg
 
Tongotongo la Asubuhi
91cfd3b1cf16b7004bd28d5457a79f4a.jpg

Huko milimani Prague Jamhuri ya Czech wiki iliyopita kulitokea mlipuko wa volkano yenye rangi ya waridi(Pink}
Licha ya volkano hiyo kuwa na rangi ya kuvutia lakini madhara yake pengine ni zaidi ama sawa na volkano ya kawaida
Wanasayansi bado wanachunguza sababu
.....
.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom