Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Walikuwa ni akina nani?
Walikuwa ni akina nani?
Shukrani MkuuAsante kwa historia mkuu
Aisee ilikuwa safari ya maumivu hiyoVijijini huko Kolomije nyoka jambo la kawaida sana na nimeshawakanyaga mno japo nina bahati hawajawahi kuning'ata. Hata hivyo nina urafiki wa ajabu na nge na nilikuwa sipitishi mwezi bila kung'atwa. Muziki wake nao si wa mchezo hasa akikung'ata sawasawa.
Naenda kuanza form one boarding naweka tu sweta mgongoni akanitandika. Aisee safari ya masaa manane kwenye basi nilikwenda naugulia maumivu...
Ni kweli, na alijuta sanaMoja kati ya maamuzi ya hovyo kuwahi kufanywa na Hleb ni kuhama kwake Arsenal.
Ni mwanamuziki mashuhuri wa miaka hiyo.Walikuwa ni akina nani?
Nafikiri ndio goli la mwisho la dhahabu![]()
![]()
![]()
Bora limefutwa linaumiza sana
Nakumbuka David Trezeguet alivyowaua Wataliano Euro 2000
.....
Nimekupata mujarabu mzee Mussolin5Leo Katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Lakini ukiiangalia kikosi chao ni kikosi bora kabisa, lakini kimeshindwa kuthibitisha ubora waoWachezaji wengi waliomzunguka Messi kwenye timu ya taifa hawampi ushirikiano wa kutosha. Hivyo zigo lote anatupiwa Messi.
Nimecheka sanaCome on Mukongoman! Una batophobia? Ndege huwa unapanda na huogopi? Ulianza anzaje kuogopa haya majengo marefu?
Ila hizi phobia zingine hizi hata sijui zinaanzaje. Mimi siku hizi nikiona mende chumbani silali aisee mpaka nimtafute nimuue. Nikilala bila kumuua basi nitaota limende likuuuubwa linaninyemelea sasa hata kulikimbia siwezi. Hapo mwanaume ni kutoka jasho balaa. Ajabu wadudu wengine na hata nyoka sina tatizo nao kabisa. Huwa nashangaa sana kwa sababu nimekulia kijijini na mende kibao and it was no big deal.
Ruksa kutushirikishaHapo sasa. Basi tusiwalalamikie wazungu kwa kupotosha historia yetu wakati sisi wenyewe wala hatujui tuanzie wapi.
Hapa maktabani kwangu nina vitabu vya Mashujaa wa Tanzania, Historia ya Wasukuma na Mila na Desturi za Wachaga lakini vyote vimeandikwa na wazungu kabla ya uhuru. Naweza kuwa na-scan na kuviweka pole pole kufuatia topic. Havina copyrights.
AmenKUMTEGEMEA MUNGU KUNA FAIDA
ISAYA 40
29 Huwapa nguvu wazimiao ,humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo
Pale unapochoka fikra unapowaza sana unapokata tamaa ndipo Mungu anapokupa nguvu na kinga za kila shambulizi pia kukuvusha juu ya hali uliyo nayo ,hivyo pambana na hali hiyo kwani Bwana anatamalaki na kukupa utulivu na ushindi ili kumshinda adui anapotaka kukudhuru
Tumuombe Mungu atusaidie tumkabidhi Mungu njia zetu zote naye hatatuacha![]()
TUOMBE
MUNGU BABA MWENYEZI tunakushukuru sana kwa ulinzi wako na yote unayotutendea,Mungu,umetutoa mbali tunakushukuru sana.
Ponya wagonjwa,fariji wafiwa,fariji wajane na yatima,tembea nasi Baba nyoosha mapito yetu,peke yetu hatuwezi
Tunajikabidhi miili na roho zetu tukinge na hatari zote za mwili na roho.
Roho Mtakatifu Mfariji wetu tufundishe ,tuongoze,tuonyeshe njia sahihi ya kuishi maisha ya kumpendeza Mungu
Asante kwa kila linakotokea maishani mwetu
Tunaomba yote kwa jina la Yesu mpatanishi na mwokozi wetu .
Amen
Muwe na siku njema,wiki njema,mwezi mwema.....MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
AiseeKemea utaisha,kuna wakati nulijua naogipa sana nyoka kila nikiingia ndani nawaza nyoka huwezi amini siku moja alfajiri nilijikuta nimebeba nyoka mgongoni![]()
![]()
nakung'uta akaanguka haa nikaitaa jina la Yesu nilipambana hadi kumuua,na nikaanza rasmi kukemea mfululizo limeisha hili jambo namshukuru Mungu
![]()
Mkongwe ChieliniHuyu na yule kipala, Barcelona hawawezi kuwasahau
Na usafiri wa majini ni hivyo hivyo au ni bus pekee?Mkuu mm naogopa kupanda gari na hua natapika sana..
Naweza tibu hili tatizo ki vipi
Clkey njoo umsikie mukongoThubutu!!!.....huwezi tulinganisha na hao watoto wa MR. BEAN![]()
![]()
![]()
Umekuwa mtoto mukongo mpaka 30mns ushindweAcha ndani ya huo muda.....hata unipe dk. 30 simalizi!!!
Huko ndio usiseme ile siku manusura nikimwage kwenye Azam.Na usafiri wa majini ni hivyo hivyo au ni bus pekee?
Simuwezi kwa kweliWerason naye utamuweza
Sawa mkuuNi mwanamuziki mashuhuri wa miaka hiyo.