Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
AmenHapa ni vyema tunashukuru tumeamka na siku imeanza vizuri
AmenHapa ni vyema tunashukuru tumeamka na siku imeanza vizuri
Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho, kwa udhamini wa mnono wa mlinzi wa shunie, Shedede![]()
![]()
ahsante PapaaMorning EngineerMorning mukongo aka baba mchungaji
No! Alikula ounce-72![]()
Ni hatari
Me ni mwoga kwenye majengo marefu.....yaani naweza ota hata kwa miaka 5!!!Baba mchungaji usiwe muoga jana tumepewa neno ya kwamba tusiogope
Kwa wasiojua Maandamano Fc bado yupo kwenye wakati mgumu maana akifingwa mechi ya fainali ndo basi tena wakati Yanga anaweza kushika nafasi ya pili kwenye ligi na km Simba akishinda FA Basi Yanga kimataifa km kawa
Asante mkuuTuwe na asubuhi njema Makapuku
Thanks ChaplinTuwe na asubuhi njema Makapuku
Ulimukafu sebho!Mi niko mzima mkuu
Leo zamu yakoAsenaliiiiiii
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Omba sana Usiwe na moyo huoMe ni mwoga kwenye majengo marefu.....yaani naweza ota hata kwa miaka 5!!!
Bado nimekumbatia blanket aise hali yahewa baridiNajua bado umelala
Mondray amekukimbia kitandani?Bado nimekumbatia blanket aise hali yahewa baridi
Baba mchungaji wewe huwezi hii kumaliza ndani ya muda huo kweli?No! Alikula ounce-72
AnachepukaMondray amekukimbia kitandani?
Ahsante mkuuHabari za asubuhi.. karibuni viwanja vya ushirika
Nyagei unaniuza auAhsante mkuu
Valentina atakuwa mgeni wako kwa Leo