Makapuku Forum

Makapuku Forum

03c41c9fd5eb9f16e35b07a868d03cb8.jpg

Ni hatari
No! Alikula ounce-72
 
Kwa wasiojua Maandamano Fc bado yupo kwenye wakati mgumu maana akifingwa mechi ya fainali ndo basi tena wakati Yanga anaweza kushika nafasi ya pili kwenye ligi na km Simba akishinda FA Basi Yanga kimataifa km kawa

Yanga jana ingemfunga Mbao basi ingewahakikishia Simba kushiriki kimataifa bila mujali nani angeshinda fainali au nani atakuwa bingwa VPL
Iwapo Mbao wakikaza fainali Simba mtabaki mchangani
Asubuhi Njema
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom