Makapuku Forum

Ameen mama mchuchu
 
naiona kesho yangu iliyopangwa na Mungu
barikiwa sana mama mchuchu
 
Poa basi tuchekiane inbox, tuone tunafanyaje.
Yaani itakuwa poa sana

Leo ktk historia
1804- majeshi ya kijerumani yaskung'utwa huko Lugalo

1857- Mtwa Wa Wabena aanzisha vuguvugu huko Makambako dhidi ya Chifu Mkwawa

1907-Wamisionari 50 wa Kiingereza wauawa huko Kilwa baada ya kushambuliwa kwa mishale

1969-Mwalimu JK Nyerere aweka jiwe la msingi wa sekondari ya Pugu

1975- Sunderland(Simba) yaichapa Vyura Fc goli 12 kwa sifuri Uwanja wa Karume uliopo Mzuzima Kipese na Kizota wang'ara

Yaani hapo hadi FaizerFix atakuja kuchangia


Ila za kizungu muhimu tunaweka km kawa
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…