Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

Smile in the mirror, do that every morning and you will start to see a big difference in your life

Tabasamu kwenye kioo, fanya hivi kila asubuhi na utaanza kuona tofauti kubwa maishani mwako
63545e3546993a0c17a493d20c047f08.jpg


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwanamziki,mwanamashairi, msaani na mwanaharakati wa kijapani Bi. Yono Oko aliezaliwa tar. Feb 18 1933
dfba5dd17b5a502a1d6f4c3a6023a588.jpg

a66640ed0af0fb3aa034b98d071f8e01.jpg

Yoko anafanga kazi nyingi za kisanii na kijamii, mojawapo ni ile harakati ya amani duniani "Bed in for peace" akiwa fungate na mmewe bw. John Lennon na "War is over" mwaka 1969.

Hili la kutabasamu kwenye kioo linaonekana kama jambo la kijinga na kituko ila ni ukijiangalia kwenye kioo lazima ujicheke.

Lakini kucheka kuna faida nyingi kama kupunguza msongo wa mawazo,pukunguza mkandamizo wa damu n.k

Binafsi mimi huwa nacheka kila siku asubuhi...

Its real, try it..

Transcend.
Asante kwa nukuu mkuu uwe na siku njema
 
Wooow
Nukuu imetulia sana, nafikiri ndo maana nina afya njema maana kwangu mie ni kila asubuhi na jioni lazima nicheke na kioo....
Kucheka...

1. You boost immune function
2. Improve well-being and positive attitude
3.Relaxing of muscles
4. Enhace memory creativity..

Keep doing that...you will see the big difference..



Cc: Avatar ya Transcend
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom