Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

Smile in the mirror, do that every morning and you will start to see a big difference in your life

Tabasamu kwenye kioo, fanya hivi kila asubuhi na utaanza kuona tofauti kubwa maishani mwako
63545e3546993a0c17a493d20c047f08.jpg


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwanamziki,mwanamashairi, msaani na mwanaharakati wa kijapani Bi. Yono Oko aliezaliwa tar. Feb 18 1933
dfba5dd17b5a502a1d6f4c3a6023a588.jpg

a66640ed0af0fb3aa034b98d071f8e01.jpg

Yoko anafanga kazi nyingi za kisanii na kijamii, mojawapo ni ile harakati ya amani duniani "Bed in for peace" akiwa fungate na mmewe bw. John Lennon na "War is over" mwaka 1969.

Hili la kutabasamu kwenye kioo linaonekana kama jambo la kijinga na kituko ila ni ukijiangalia kwenye kioo lazima ujicheke.

Lakini kucheka kuna faida nyingi kama kupunguza msongo wa mawazo,pukunguza mkandamizo wa damu n.k

Binafsi mimi huwa nacheka kila siku asubuhi...

Its real, try it..

Transcend.
 
NUKUU YA LEO

Smile in the mirror, do that every morning and you will start to see a big difference in your life

Tabasamu kwenye kioo, fanya hivi kila asubuhi na utaanza kuona tofauti kubwa maishani mwako
63545e3546993a0c17a493d20c047f08.jpg


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwanamziki,mwanamashairi, msaani na mwanaharakati wa kijapani Bi. Yono Oko aliezaliwa tar. Feb 18 1933
dfba5dd17b5a502a1d6f4c3a6023a588.jpg

a66640ed0af0fb3aa034b98d071f8e01.jpg

Yoko anafanga kazi nyingi za kisanii na kijamii, mojawapo ni ile harakati ya amani duniani "Bed in for peace" akiwa fungate na mmewe bw. John Lennon na "War is over" mwaka 1969.

Hili la kutabasamu kwenye kioo linaonekana kama jambo la kijinga na kituko ila ni ukijiangalia kwenye kioo lazima ujicheke.

Lakini kucheka kuna faida nyingi kama kupunguza msongo wa mawazo,pukunguza mkandamizo wa damu n.k

Binafsi mimi huwa nacheka kila siku asubuhi...

Its real, try it..

Transcend.
Asante mkuu
 
Asante mume wangu
Raha yangu nikuone kila sekunde but no, kawajibikee laazizi wangu ili tutimize Malengo yetu...

T laazizi wangu, uwe na kazi njema hunie...

Nakupenda mpaka najionea wivu hubie
Wivu sunnah ila ukizidi huwa unakuwa Fardhi na si sunnah tena Acha bwana kaka akapige kazi usawa wenyewe huu wa baba jesca sio wa mkwere
 
Asante mume wangu
Raha yangu nikuone kila sekunde but no, kawajibikee laazizi wangu ili tutimize Malengo yetu...

T laazizi wangu, uwe na kazi njema hunie...

Nakupenda mpaka najionea wivu hubie
I love you Tabasamu langu...

I love venye unacheka! Yaaani wewe mtoto ....mungu akuweke hai kwa kweli...

I love you my world...

 
NUKUU YA LEO

Smile in the mirror, do that every morning and you will start to see a big difference in your life

Tabasamu kwenye kioo, fanya hivi kila asubuhi na utaanza kuona tofauti kubwa maishani mwako
63545e3546993a0c17a493d20c047f08.jpg


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwanamziki,mwanamashairi, msaani na mwanaharakati wa kijapani Bi. Yono Oko aliezaliwa tar. Feb 18 1933
dfba5dd17b5a502a1d6f4c3a6023a588.jpg

a66640ed0af0fb3aa034b98d071f8e01.jpg

Yoko anafanga kazi nyingi za kisanii na kijamii, mojawapo ni ile harakati ya amani duniani "Bed in for peace" akiwa fungate na mmewe bw. John Lennon na "War is over" mwaka 1969.

Hili la kutabasamu kwenye kioo linaonekana kama jambo la kijinga na kituko ila ni ukijiangalia kwenye kioo lazima ujicheke.

Lakini kucheka kuna faida nyingi kama kupunguza msongo wa mawazo,pukunguza mkandamizo wa damu n.k

Binafsi mimi huwa nacheka kila siku asubuhi...

Its real, try it..

Transcend.
Shukran mkuu kwa nasaha ntazifanyia kazi

Je ukitazama kiooo unatakiwa ucheke mwisho mara ngapi maana nisije zidisha dozi nikawa mental?
 
NUKUU YA LEO

Smile in the mirror, do that every morning and you will start to see a big difference in your life

Tabasamu kwenye kioo, fanya hivi kila asubuhi na utaanza kuona tofauti kubwa maishani mwako
63545e3546993a0c17a493d20c047f08.jpg


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwanamziki,mwanamashairi, msaani na mwanaharakati wa kijapani Bi. Yono Oko aliezaliwa tar. Feb 18 1933
dfba5dd17b5a502a1d6f4c3a6023a588.jpg

a66640ed0af0fb3aa034b98d071f8e01.jpg

Yoko anafanga kazi nyingi za kisanii na kijamii, mojawapo ni ile harakati ya amani duniani "Bed in for peace" akiwa fungate na mmewe bw. John Lennon na "War is over" mwaka 1969.

Hili la kutabasamu kwenye kioo linaonekana kama jambo la kijinga na kituko ila ni ukijiangalia kwenye kioo lazima ujicheke.

Lakini kucheka kuna faida nyingi kama kupunguza msongo wa mawazo,pukunguza mkandamizo wa damu n.k

Binafsi mimi huwa nacheka kila siku asubuhi...

Its real, try it..

Transcend.
Wooow
Nukuu imetulia sana, nafikiri ndo maana nina afya njema maana kwangu mie ni kila asubuhi na jioni lazima nicheke na kioo....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom