Makapuku Forum

Makapuku Forum

1958 - Stevie B anazaliwa.

Mtunzi na mwanamuziki kutoka nchini Marekani.
34ab5ee8ce6385d750ae674436c60609.jpg
244edf29c4dec74691e55c7ad93a301a.jpg
344f42c58fe43eeec59d8046bfa990bc.jpg

....
 
Goodmorning family.....hope mko kamili gado na mnaendelea vyema.....back to me nipo kama chuma cha pua niko na speed 120
Safi mkuu, ni jambo la kumshukuru Mungu kwa pumzi na afya njema, wapo wengi wapo vitandani kwa kuumwa ila Mungu amekupendelea basi hebu tumshukuru Mungu baba kwa kila jambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom