Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ahaaaaaaah itapendezaa kinomaaaYaani itakuwa poa sana
Leo ktk historia
1804- majeshi ya kijerumani yaskung'utwa huko Lugalo
1857- Mtwa Wa Wabena aanzisha vuguvugu huko Makambako dhidi ya Chifu Mkwawa
1907-Wamisionari 50 wa Kiingereza wauawa huko Kilwa baada ya kupigwa Maliki
1975- Sunderland(Simba) yaichapa Vyura Fc goli 12 kwa sifuri lakini Kizota ang'ara
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ila za kizungu muhimu tunaweka km kawa
......