Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ombi
Naomba ujitahidi kadri ya uwezo wako uwe unatuletea na kumbukumbu za nyumbani
Najua ni ngumu kuzipata km ikiwezekana nitakushtua sehemu zinapoweza kupatikana

Shukrani mkuu
.....
Wazo zuri. Yaani mashujaa na manabii wetu habari zao ni za kubabia babia tu. Tumeaminishwa kwamba hatukuwa na history kabla ya akina Karl Peters, Livingstone, Morton Stanley, Mungo Park na magenge yao kutia guu Afrika. Nitafuatilia kwa makini!
 
Hahahahahah nione tu na mimi nakuona nakuona
9acd9544daa618537c6bc88f8045a904.jpg
 
Umefikiria mbali sana mzee
Pia fikiria iwapo Waafrika tungekuwa weupe halafu wazungu weusi
*Tungeambiwa binadamu wa kwanza alikuwa nguruwe na hadi mafuvu tungeoneshwa
*Rangi nyeupe ni ishara ya huzuni, nyeusi amani
*Kuanzia Yesu hadi Adam wotewangechorwa weusi tii

Wazungu wametuzidi tu ujanja ndio maana wakaja kututawala badala ya sisi kwenda kuwatawala coz walitafiti wakagundua uwezo wetu mdogo wa kufikiri
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom