Makapuku Forum

Makapuku Forum

Udaku cont...
8f7e37b828a983aff934f8c73ac869ec.jpg
cbb121f4157823563404ee186f67abc3.jpg


Wakuu tuwe n.a. Siku njema ...kugufurika kama kawa
watekwe woteee wasimteke lee wangu nitakufwaaaa
 
Tuombe:Mtakatifu Baba Mungu wetu ,tunajitakasa mbele zako siku hii ya leo tunaomba utusamehe makosa yetu yote tuliyotenda kwa mawazo ,kwa maneno, kwa matendo tunakushukuru Mungu wetu kwa kutufikisha leo wengine hawakuweza kufika siku ya leo achilia kiu ya kukutafuta wewe siku zote tutenge na anasa nguvu za giza marafiki wabaya tunawaombea vijana wasio na ajira waliokata tamaa,achilia tumaini,achilia mipenyo ya ustawi katika ndoa, mahusiano biashara,maofisi ,familia Tunawaombea wasafiri wafiwa wagonjwa,wafanyakazi ,watoto, wajawazito ,wazazi, wakimbizi,wafungwa na wengine wote wenye mahitaji yao binafsi Tunashukuru Bwana maana unajibu maombi yetu yote shetani hana nafasi tena katika jina la Yesu Damu ya Yesu itutakase Karibu Roho Mtakatifu Msaada wetu siku zote za maisha yetu Amen
Ameen mama mchuchu
 
KESHO YANGU NI NZURI

YEREMIA 29:11

Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi asema BWANA,ni mawazo ya AMANI wala si mabaya ,kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.

Tukimtegemea Bwana katika Roho na kweli hakika kesho zetu zitakuwa zenye thamani sana mbele zake.
Usichoke ndugu Ebu kaza mwendo ,upate kufika mbinguni

Mungu wetu ni wa kila kitu.

Mungu atusaidie sana Tumpende ,Tumheshimu,Tumtegemee maana daima anatuwazia mema...mbarikiwe sana.
naiona kesho yangu iliyopangwa na Mungu barikiwa sana mama mchuchu
 
Poa basi tuchekiane inbox, tuone tunafanyaje.
Yaani itakuwa poa sana

Leo ktk historia
1804- majeshi ya kijerumani yaskung'utwa huko Lugalo

1857- Mtwa Wa Wabena aanzisha vuguvugu huko Makambako dhidi ya Chifu Mkwawa

1907-Wamisionari 50 wa Kiingereza wauawa huko Kilwa baada ya kushambuliwa kwa mishale

1969-Mwalimu JK Nyerere aweka jiwe la msingi wa sekondari ya Pugu

1975- Sunderland(Simba) yaichapa Vyura Fc goli 12 kwa sifuri Uwanja wa Karume uliopo Mzuzima Kipese na Kizota wang'ara

Yaani hapo hadi FaizerFix atakuja kuchangia


Ila za kizungu muhimu tunaweka km kawa
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom