Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Ni jlwMambo ya jlw ndio nini?
Ni jlwMambo ya jlw ndio nini?
na mm nakuona tuNakuona tuu
SweetieSakayooooooooo
Nakupendaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hata sikuelewiNi jlw
usiku mwema na kwako joshyHabari zenu wakuu makapuku?
Natumai mko poa wote humu ndani.
Naomba niwatakie usiku mwema bila kumsahau mtoto mzuri Shunie
Hahahaaa!Sweetie
Mbona notification zaja na lile zombie lako bhana, mie naogopa hunie
ww ata kama sikutaki baby ndio kashakuwekaKwani mimi unanitaka?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jukwaa La WakubwaHata sikuelewi
hunnie wa kwangu mmBaby
Naomba unipeleke tuu hubby, nikukumbatie woga uondokeHahahaaa!
Nitakupeleka kitandani ujuee
hahahhahahAnajipendekezaa
Jamaani ..Naomba unipeleke tuu hubby, nikukumbatie woga uondoke
aiseee kazi ipoNafikir nimemaliza kila kitu
Pasipo kufumba macho wala kumuogopa mtu nasema shunie na transcend jana wala hawakuwa mametoka mahali ila ni wivu wa mke wa transcend(shemela)
Pale alipouliza kuwa "mmetoka wapi mbona mmekuja pamoja"
Transcend nae kujikoki kwa mtoto mkali akasema "tumetoka kuleee..kuleee
Hapo mi nikaona kuna tatizo nikaanza kufatilia kila post nikagundua shunie na transcend hakuna mahali wametoka
Uchunguzi wangu ukazama zaiid kwa dr.lee wala hakuonekana na wac wac kwa hilo wala kutikisika iyo inaonyesha alivyo mkakamavu sana katika mapenzi ndio maana iyo kazi akaniachia mimi
Huu ni uchunguzi namba 1...bado 2....na3
HahahaJamaani ..
Nimbeba shemeji yenu nampeleka chimbani...
Close your eyes babes...
mm huyoShunie Ananipenda + Ninampenda =Tunapendana hukooo p.....
Sweetie
Mbona notification zaja na lile zombie lako bhana, mie naogopa hunie



huwezi kuelewaHata sikuelewi
