Makapuku Forum

Makapuku Forum

Dah! nimekaa na pilipili yangu mpaka kwa bahati mbaya nikajitovuga machoni lakini sikuona kama kuna shughuli inaendelea. Si vizuri nyie watu!! Afadhali ndizi nilikula mchana na Rambo nikawekea maganda ya ndizi. Shunie au mlikosa masufuria ya kupikia chakula cha "anniversary"?
Koma kumtajataja shunie
 
Toa ripoti yako, tuendelee na mambo mengine
Nafikir nimemaliza kila kitu

Pasipo kufumba macho wala kumuogopa mtu nasema shunie na transcend jana wala hawakuwa mametoka mahali ila ni wivu wa mke wa transcend(shemela)

Pale alipouliza kuwa "mmetoka wapi mbona mmekuja pamoja"
Transcend nae kujikoki kwa mtoto mkali akasema "tumetoka kuleee..kuleee
Hapo mi nikaona kuna tatizo nikaanza kufatilia kila post nikagundua shunie na transcend hakuna mahali wametoka

Uchunguzi wangu ukazama zaiid kwa dr.lee wala hakuonekana na wac wac kwa hilo wala kutikisika iyo inaonyesha alivyo mkakamavu sana katika mapenzi ndio maana iyo kazi akaniachia mimi

Huu ni uchunguzi namba 1...bado 2....na3
 
Nafikir nimemaliza kila kitu

Pasipo kufumba macho wala kumuogopa mtu nasema shunie na transcend jana wala hawakuwa mametoka mahali ila ni wivu wa mke wa transcend(shemela)

Pale alipouliza kuwa "mmetoka wapi mbona mmekuja pamoja"
Transcend nae kujikoki kwa mtoto mkali akasema "tumetoka kuleee..kuleee
Hapo mi nikaona kuna tatizo nikaanza kufatilia kila post nikagundua shunie na transcend hakuna mahali wametoka

Uchunguzi wangu ukazama zaiid kwa dr.lee wala hakuonekana na wac wac kwa hilo wala kutikisika iyo inaonyesha alivyo mkakamavu sana katika mapenzi ndio maana iyo kazi akaniachia mimi

Huu ni uchunguzi namba 1...bado 2....na3
Anakulipa $h ngapi lee.
 
Nafikir nimemaliza kila kitu

Pasipo kufumba macho wala kumuogopa mtu nasema shunie na transcend jana wala hawakuwa mametoka mahali ila ni wivu wa mke wa transcend(shemela)

Pale alipouliza kuwa "mmetoka wapi mbona mmekuja pamoja"
Transcend nae kujikoki kwa mtoto mkali akasema "tumetoka kuleee..kuleee
Hapo mi nikaona kuna tatizo nikaanza kufatilia kila post nikagundua shunie na transcend hakuna mahali wametoka

Uchunguzi wangu ukazama zaiid kwa dr.lee wala hakuonekana na wac wac kwa hilo wala kutikisika iyo inaonyesha alivyo mkakamavu sana katika mapenzi ndio maana iyo kazi akaniachia mimi

Huu ni uchunguzi namba 1...bado 2....na3
Kwenda hukooo!!!

Hivi unajua kufuatilia comments za mtu bila ridhaa yake ni kosa kisheria
 
Nafikir nimemaliza kila kitu

Pasipo kufumba macho wala kumuogopa mtu nasema shunie na transcend jana wala hawakuwa mametoka mahali ila ni wivu wa mke wa transcend(shemela)

Pale alipouliza kuwa "mmetoka wapi mbona mmekuja pamoja"
Transcend nae kujikoki kwa mtoto mkali akasema "tumetoka kuleee..kuleee
Hapo mi nikaona kuna tatizo nikaanza kufatilia kila post nikagundua shunie na transcend hakuna mahali wametoka

Uchunguzi wangu ukazama zaiid kwa dr.lee wala hakuonekana na wac wac kwa hilo wala kutikisika iyo inaonyesha alivyo mkakamavu sana katika mapenzi ndio maana iyo kazi akaniachia mimi

Huu ni uchunguzi namba 1...bado 2....na3
Umepanda cheoo

Chief kamanda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom