Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kabla hatujalala tujue kilichojiri viwanjani leo
Belgium playoffs
f21ad7785f52242f87733511ec650950.jpg

England EPL
355d85e0a6c6f92c6798654fae8670ef.jpg

Moyes ameshakubali matokeo ya kushuka daraja
Germany Bundesliga
4448e4cde319cab18100bb70fbac7a6b.jpg

Kenya premier League
fc51b297dda0c343e62d9a7f29e46548.jpg
 
Nafikir nimemaliza kila kitu

Pasipo kufumba macho wala kumuogopa mtu nasema shunie na transcend jana wala hawakuwa mametoka mahali ila ni wivu wa mke wa transcend(shemela)

Pale alipouliza kuwa "mmetoka wapi mbona mmekuja pamoja"
Transcend nae kujikoki kwa mtoto mkali akasema "tumetoka kuleee..kuleee
Hapo mi nikaona kuna tatizo nikaanza kufatilia kila post nikagundua shunie na transcend hakuna mahali wametoka

Uchunguzi wangu ukazama zaiid kwa dr.lee wala hakuonekana na wac wac kwa hilo wala kutikisika iyo inaonyesha alivyo mkakamavu sana katika mapenzi ndio maana iyo kazi akaniachia mimi

Huu ni uchunguzi namba 1...bado 2....na3
OVA!

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom