Makapuku Forum

Makapuku Forum

2012 - Steven Kanumba anafariki Dunia.

Ni muigizaji nguli na mashuhuri kuwahi kutokea nchini Tanzania.

Mazingira ya kifo chake yamebaki ya kutatanisha mpaka leo.

Toka afariki, tasnia ya filamu imeyumba kwa kiasi kikubwa.
94a15029bf5f27903ab556960ecbd345.jpg
4ec0444dcd818684976f9c8eaf84296e.jpg
189f801ea4e7347e759fee0087ed6634.jpg
f0d37f7d518d454113bde4e23bdee0b8.jpg

29bf660ae7225dfb9e1ec38c0edb1a7e.jpg
5c8903cbe6f8ab39de8c2772405961c3.jpg
314fe60f2655c30fa668a7b9870ced53.jpg
945150e670e704f371e40128fc08c60f.jpg
8f4523a10cc899b4b4ac9dfb87223cd0.jpg
d44d6c0c405e6975e1a1adbb2e1de83b.jpg
6e5e71a6986a355f5a7fe79bd49e4eda.jpg

Alivyokufa tu na bongo movie ikafa
Siku hizi haina soko wala mvuto kina Ray wapo bize kunywa maji mengi
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom