Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hahaha![]()
![]()
Usishtuke shem usije pata pressure wakati leo ni siku ya afya duniani
Afya ninayo ila yabidi nikaicheki tena
Hahaha![]()
![]()
Usishtuke shem usije pata pressure wakati leo ni siku ya afya duniani
Hahahaa!Hukuwa na lengo la kutaka nielewe
Nakunja 40 kabisa nasubiria pichaHahahahaaa...
Kuna mahali nimekukuta ujueSina nia mbaya shem
Ni utani tu na kaka yetu kipenzi
Huyo mtu huwa namsikia tu simjui kabisaHata vyeti hana ni km Bashite tu
Anazuga kwa kupost joho LA kuazima Instagram picha ileile daily
Kulielewa lile tumbo pipa labda ujitoe ufahamu
![]()
![]()
![]()
......
2012 - Steven Kanumba anafariki Dunia.
Ni muigizaji nguli na mashuhuri kuwahi kutokea nchini Tanzania.
Mazingira ya kifo chake yamebaki ya kutatanisha mpaka leo.
Toka afariki, tasnia ya filamu imeyumba kwa kiasi kikubwa.
Hata ungekuwa wewe usingechagua uraia wa bongo labda uwe Bashite
Uzee ni changamoto
Ni vyema kubaki kuliko kuyaondoa hayo makovu![]()
![]()
alipata ajali akiwa mdogo km Tevez hadi leo makovu bado wanayo hawataki kuyaondoa![]()
.....
Kuna mjapani anaitwa Alberto?Naona ana asili ya Japan
Ila mngekuwa fair kwa kuanza konesha mfano..Nakunja 40 kabisa nasubiria picha
Ni raha sana ukiwa tayari kuupokea,changamoto ni pale tunaposahau kuwa siku moja tutazeeka.Uzee ni changamoto
Mtafute asije akawa kafichwaHata mm mwenyew cjui kaenda wap?
Me ndio napata breakfast![]()
![]()
Jibu mubashara
ImeshawekwaWeka picha
Umetamka vizuri hadi moyo umechangamka
