BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Mbaya sana wapumzike kwa amani.Itabidi tupate historia ya hiyo vita upya
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Mbaya sana wapumzike kwa amani.Itabidi tupate historia ya hiyo vita upya
Hapa nilipo saivi ni saa nne kamili asubuhi
Historia si umepewa kuanzia jana?Itabidi tupate historia ya hiyo vita upya
Hahahah.hapo sijaelewa mkuuKabisa ndio maana huwa anajiiba anakuja night kali kubipu
Ok,huku saa sita na dk tatuHapa nilipo saivi ni saa nne kamili asubuhi
We unapenda maji baridi?
Hata sura humjui?Sio mie bhana, unajua waweza mjua mtu lakini ukawa unachokijua sio???!!!
Ni mume mtarajiwa ila hata hicho nachojua bado sina uhakika nacho ila naamini tuu Ndivyo ilivyo
Unapita.....haraka sana..mimi niko tayari kuupokeaWe unapenda maji baridi?