BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
YesKumbe hiyo picha ndio walioitumia kwenye shilingi 200&500
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
YesKumbe hiyo picha ndio walioitumia kwenye shilingi 200&500
Ni Kanumba sio Kayumba
Sina maana hiyooo(in Jk's voice)Umeanza uchochezi sasa
Sababu tunakula sana ugali
Nakuona Hapo ulipo unasubiri ugali
![]()
![]()
![]()
......
Marahaba mama mtumishi, Hujambo wewe
Tupige goti tusaliKweli mkuu.
Kwa Tanzania ,hakika tunahitaji maombi kuikomboa nchi toka ibilisi,mambo ni mengi mno,laana ,mikosi na unafiki mwingi..tufanye toba tumlilie Mungu,atatusaidia.
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ila ngano ina mzio sanaaaa(arlegies) na kwa nchi zetu tungapata shida sana kudhibiti ...mara nyingi mtu utamsikia anaathma akipima arlegy analuta ngano akistop kula vitu vya ngano asthma inaisha so tunatakiwa kuwa waangalifu.Sio utani.....kwenye lishe Naskia Ngano ina faida kiakili kuliko Mahindi.....halafu Wazungu walitubadilishia Ngano wakatuletea Mahindi
Salaam kwako mkuuSalaam kwenu wakuu..
Where?Mbona baba mchungaji anataka kukana?
Hukuwa na lengo la kutaka nieleweBora umeelewa tuu mkuu.
HayaMama amesema mpo zaidi ya 47
Sio mie bhana, unajua waweza mjua mtu lakini ukawa unachokijua sio???!!!MNAJUA KUIGIZA SANA.
Ukiipata niambie namnq ya kupataNitaitafuta hiyo shooting dogs
Powa PapaaMzee wa paliii mambo
Pengine hata maiti ingeibwaWalipaswa kumlinda zaidi akiwa hai,kama kiongozi nahisi kulikua na kujisahau
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Sasa umejua!!!!i didn't
Mmmh!anaogopa kuitwa mjinga kuwa chitchat mda huuMbona baba mchungaji anataka kukana?