Naupenda sana wimbo wao wa Chiquitica
Thanks so muchWakuu tuwe na siku njema..
Mkuu mr T tunakusubiria kwa lishe ya ubongo ...Ila sio mbaya tukaipitia na hii
![]()
Wenzetu wako mbali sana
Imebaki historiaje wajua..??..
kwamba klabu ya mpira wa miguu arsenal ya uingereza ndio timu pekee kwa kipindi cha miaka 30 iliyopita iliyocheza mechi zote 38(+11 za msimu uliofuata) za ligi msimu wa 2003/04 bila kupoteza na kutwaa ubingwa wa EPL .....!!..
Beeh