Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ratiba ya mechi za leo tarehe 7/4/17
Belgium Jupiler league
a49daf79b4af61e4facd0d744defc421.jpg

League 1
d9a7d52b9326e699eeea2bb9ea1b598a.jpg

Bundesliga
29d1c5395eb3b8632426e66efa976704.jpg

EREDIVISIE
251ab563c3f345140d01c9891eafcc54.jpg

LaLiga
51df6b860be54bde95fec325aea98a37.jpg

Uganda Premium league
a41c387b3f74cd848528b3bb08a0cbd6.jpg
Obe
 
Habari za asubuhi wapendwa wangu makapuku!?

Leo nimeamka nikiwa na hamu ya kuwafaham hawa watu na ningeomba kueleweka japo ni ngumu kwa sababu ni suala la moyon inawezekana ulimi hauwez kulieza vizr nikapata kueleweka!!!

Transcend
Nyegei
Blessed hope
Rogie
Sakayo
Shedede
Shunie
ClKey

Nyinyi ni kina nani!?!?

Hapa inbox naomba iuhisike na na mshukulu MUNGU mondray nimeshamfaha na lakufurahisha zaidi ni Jilani yangu!!!

Ndugu leo sio kesho upatopo wazo lifanyie kazi usisubilie kesho!!

Nimeamua kuomba kuwafaham koz nmemeona mnastahili kuwa wanafamilia wangu Kupitia makapuku japo wengine watakuwa wa mbali ila sitajali!!
Karibu...mimi ni mama mchungaji..in Lee'svoice ,mama mchuchu in Shunie's Voice,MAMA in Nyagei's voice,Mtumishi in Queil's voice..tunakupenda Mkhubi pole kwa maumivu naamini Mungu anaendelea kukuponya mwili na roho karibu Makapuku sisi wanafamilia wenzako tunakuombea Isaya 43:2 upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe ,na katika mito ,haitakugharikisha,uendapo katika moto hautateketea,wala mwali wa moto hautakuunguza 3 Maana mimi ni BWANA MUNGU wako Mtakatifu wa Israeli,mwokozi wako , nimetoa Misri kuwa ukombozi wako,nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako,4 Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu na mwenye kuheshimiwa,nami nimekupenda kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako ,na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako. In short GOD WILL CARRY YOU THROUGH THE STORM..UBARIKIWE
 
Karibu...mimi ni mama mchungaji..in Lee'svoice ,mama mchuchu in Shunie's Voice,MAMA in Nyagei's voice,Mtumishi in Queil's voice..tunakupenda Mkhubi pole kwa maumivu naamini Mungu anaendelea kukuponya mwili na roho karibu Makapuku sisi wanafamilia wenzako tunakuombea Isaya 43:2 upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe ,na katika mito ,haitakugharikisha,uendapo katika moto hautateketea,wala mwali wa moto hautakuunguza 3 Maana mimi ni BWANA MUNGU wako Mtakatifu wa Israeli,mwokozi wako , nimetoa Misri kuwa ukombozi wako,nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako,4 Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu na mwenye kuheshimiwa,nami nimekupenda kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako ,na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako. In short GOD WILL CARRY YOU THROUGH THE STORM..UBARIKIWE
Amina mamy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom