Makapuku Forum

Makapuku Forum

Karibu...mimi ni mama mchungaji..in Lee'svoice ,mama mchuchu in Shunie's Voice,MAMA in Nyagei's voice,Mtumishi in Queil's voice..tunakupenda Mkhubi pole kwa maumivu naamini Mungu anaendelea kukuponya mwili na roho karibu Makapuku sisi wanafamilia wenzako tunakuombea Isaya 43:2 upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe ,na katika mito ,haitakugharikisha,uendapo katika moto hautateketea,wala mwali wa moto hautakuunguza 3 Maana mimi ni BWANA MUNGU wako Mtakatifu wa Israeli,mwokozi wako , nimetoa Misri kuwa ukombozi wako,nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako,4 Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu na mwenye kuheshimiwa,nami nimekupenda kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako ,na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako. In short GOD WILL CARRY YOU THROUGH THE STORM..UBARIKIWE
Mtumishi ubalikiwe na hasa kwa kuweza kutoa neno lenye uhai!!
 
Ujinga wa tarehe 1/4/2017

ad8d2cc8ba88d58523d359727da0f1ea.jpg
 
Ana nafuu anayejua kuliko asyejua status yake.watu wengi wanaishi kwa kudhani..napenda kuona kila mtu anafuatilia afya yake na kujua status yake...bila shurti
Ni uongo alikuwa anamdanganya mpenzi wake kitendo ambacho yule kilipelekea yule GF afikirie kujiua

Ila aliujua ukweli hivyo akasitisha zoezi la kujiua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom