msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,840
- 6,141
thanks hunnie![]()
![]()
love u
Karibu najua Mungu atatukutanisha sooon karibu sanamm hapa mama mchuchu miss u yaan natamani nikuone mama mchungaji siku nikija kigamboni jiandae nitakutafuta
Amen umeamkaje lakini?umepona hii mvua barikiwasijambo mama mchungaji hofu kwako, ubarikiwe sana.
Kweli jamani akusamehe tu kama si kweli kuliko kureactmama mchungaji jamaan
Asante sanaMorning ma Bibi kwa ma Bwana. Heri ya siku hii iwe njema na yenye mafananiko kwenu.
Karibu sanaSana sana mama mchungaji
Bora umeniwahi kusema
Well answeredUkiisoma bible kwa akili za kawaida utagundua imejaa makosa/mapungufu/uongo 70%+
Ila ukiisoma kiimani utasema ipo sawa 100%+ .....Hivyo inategemeana na namna ulivyochagua either kutumia akili zako au kuitumia Imani yako
..........
Karibunihahahhh kwani mbali hakufikiki si tutaenda lkn kumuona mama mchuchu
Natamani kujua nami,ngoja wataalamu waje hapaSamahani waungwana,
nina swali dogo nitaomba ufafanuzi wenu.
Ukiiangalia picha inayomuonyesha Rais mstaafu akiwa Bungeni jana,
1) Gazeti la Mwananchi na Tanzania daima inaonekana aliyefaa suti ya bluu yupo upande wa kulia wa Jakaya Kikwete,
2) Gazeti la Mtanzania na Uhuru inamuonyesha mtu huyo huyo yupo upande wa kushoto,
Swali, je imekuwaje hivyo? Wakati wote wamekaa sehemu moja? Au hao wasaidizi wake walibadilishana mkao?
Wataalamu picha na Kamera nisaidieni, na wengine pia kama una chochote usisite kuchangia.
TunakushukuruKuanzia leo ni lazima kila jioni kuwepo na Je Wajua. Sitajali kuna nini hata kama wote hawapo lazima niweke. It's my Responsibility to do that from today..
Ninapokosea usikose kunisahihisha na kunielekeza hope tutakua pamoja.
One love my brother and sister
Sio mbali mkuu karibuniKigamboni mbaliiiiu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante mkuu mbarikiwe kazi zenu ni njemaHabari ya asubuhi ndugu Kapuku
Ni siku nyingine tena Muumba ametupatia ili tupate muda wa kujiuliza ni nini tunacho mpaka sasa tunatumia pumzi yake pasi na malipo.
Natoa shukrani zangu kwa Katibu lee empire kwa magazeti na unbelievable facts
Pia kwa le dictator aliyetoka kunusurika karibuni kupinduliwa Mr Mussolin5 kwa historia murua.
Heko kwa Transcend kwa new segment ya nukuu ya siku naona hakuna haja ya kupitia mwananchi ili tupate nukuu mbali mbali.
Mwisho napenda kuvaa viatu vipya, nimepewa na katibu wangu hapa, kutakuwa na new segment ya ratiba na matokeo ya mechi za mpira wa miguu katika nyanja ya kitaifa na kimataifa bila kusahau ligi kubwa barani ulaya.
Karibuni.

Pole mkuu sasa hv hali tete kila mahali,Mungu atusaidie tuWe acha tu
Ila kuna habari ya kutoka Mara imenigusa sana
Hahahaaaaa badoo ndio nn? Shunie acha hizo bhana Mungu hapendi kabisaniliakuuliza mwanzo unajua hapa badoo ukiingia tu unataka mwanamke