Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Morning baba mchungajiGudi moningi familia
Morning baba mchungajiGudi moningi familia
Well saidKwenu nyote wakùu
Nitangulize shukrani za dhati kwa mkuu Bitoz pamoja na makapuku wote kwa yote yaliongelewa usiku sikuwa available mda muafaka ila nimepitia yote yaliyosemwa ...shukrani
ni kweli mkuu bitozi wale wengi wakongwe wa kapuku wamekuachia kazi kubwa make wengi hawapo active kama mwanzoni japo huwa unasema anatoka mtu anaingia mtu maisha yanaendelea
-Naunga mkono kile kilichosemwa kuwa kapuku imekosa mvuto kama ilivyokuwa mwanzo make mambo mengi tunayakosa (segment zote muhimu)
Ila ndo maana mnaona tunaibua story tofauti hasa Mimi na transcend na wapendwa wetu zikiwemo kutibuana ila lengo ni kufanya forum yetu iwe active ...ndo maana 1k kwa Siku inakuwa simple sana
wengi wanadai mda ni kikwazo ila mm siungi mkono make ukijipanga na ukiwa na kitu chako kichwani ukitaka tukijue kwa kutushirikisha inawezekana ata kwa mda mfinyu sote tunabanwa ila tunajitahidi
Kuhusu swala la kuvunja moyo hilo linakatisha tamaa kiukweli na mm huwa naamini wachache wanayapitia magazeti make mara chache kuona mtu ameongezea minofu kwenye habari ila sitokata tamaa ndo maana nkaongeza UNBELIEVABLE FACTS...japo haijawaingia kichwani
My Note:
Tunaweza tukaifanya kapuku ikawa chanzo cha habari zote muhimu ata kwa ufupo..naamini wapo wengi wenye mambo mengi kichwani TUKIAMUA TUNAWEZA
#2 Tudumishe ushirikiano wetu hasa tunavoanza mwaka wetu mpya kwa kufanya kitu kwa moyo wote mfano mzee wa magazeti afanye ...historia afanyee ..je wajua isikose ,nukuu ya Leo ishapata tiba na yale yaliyoorozeshwa na rais bitoz tukiamua yanarud
Tunamis vitu kama story za hapa na pale ili kufanya jukwaa letu liwe active mda wote
utani ni jadi yetu tusisahau hilo
Mengi tutazidi kujulishana
Shukrani wakuu
List yako ni ndogo mno mkuuJamani nawapenda sana milove mingi mingi jamani baadae
-Werrason
-transcend
-mondray
-shunie
-lee empire
-bitoz
-nyagei
Na makapuku wote list ni kubwa hatar
Baadae
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
We acha tu![]()
![]()
![]()
![]()
Magazeti yetuu bhanaa
Ndio KatibuUmeona mkuu ??
Haina shida mkuu nitafanyaMkuu niombe kwa niaba
Unaonaje ukahusika kwa ratiba na matokeo ya ligi duniani??
Segment yako mkuu
Pamojaa mkuuImekwisha kuingia akilini mkuu
Usijali mkuu..What a day?
I appreciate it bro
Nimejikuta tu napata tumaini upya tu
Barikiwa mkuu
Thanks mkuuHaina shida mkuu nitafanya
Nimekaribia Mshauri wetuUsijali mkuu..
Ndo segment mpya hiyo ya Transcend..
Karibu sana
Pamoja Lee..Thanks mkuu mr T kwa nukuu
Kila gazeti "afunika" bunge!...hawa jamaa wachokozi!Wakuu kumekuchaa salama tumshukuru aliye juu kwa hiloo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Na Mimi nilikuwa najiuliza hakuna kilichoendelea tofauti na JkKila gazeti "afunika" bunge!...hawa jamaa wachokozi!
Mkuu hatuquote magazetiKila gazeti "afunika" bunge!...hawa jamaa wachokozi!
R.I.P Bingu wa Mutharika.2012 - Bingu wa Mutharika
anafariki Dunia.
Alikuwa ni Rais wa awamu ya tatu nchini Malawi.
Mourinho na Fellaini ni km Mkulu na Bashite......hata Fella afanye madudu gani mechi inayofuata lazima acheze tu lakini kina Mata wakifanya kosa dogo tu bemchi linawahusuMatokeo ya EPL jana
![]()
Hawa Leicester city wanachokifanya ndicho kinachomshangaza profesa Claudio R...kweli wameamua na timu zishaanza kuogopa kukutana na fox hawa
Alichokuwa hakiamini Rojo ndicho kilichomshangaza Jagielka....... Aina na ya imani ya Rojo ni beki kwa beki kati yake na Jagielka ila namna Jagielka alivyoituni akili yake ishirikiane na mwili ndivyo walivyoendelea kukaribia katika record nyingine ya Ronald Koleman ndani ya OT.
Namna united wanavyocheza ndivyo united wanavyofeli..... Timu inakosa flow nzuri kuanzia katikati ya uwanja mpaka anapocheza Zlatan..... Mourinho vipi tuendelee kuandika au Bado unasoma...? Maana kilichomisi kwenye hii timu yako ni chemistry ili wale wachezaji waungane.....
Romelo Lukaku bhn kama anafinya yeye anapiga.... Hizi timu kubwa kazishindwa kabisa.
Usisahau huu Msimu ni wa lawama....
Manchester united 1-1Everton
natamani na timu yangu asanali nao wakaze kamgomo baridi...tuendelee kupoteza ili bwana yule aombe poo.... bila hivyo haondoki.....Matokeo ya EPL jana
![]()
Hawa Leicester city wanachokifanya ndicho kinachomshangaza profesa Claudio R...kweli wameamua na timu zishaanza kuogopa kukutana na fox hawa
Alichokuwa hakiamini Rojo ndicho kilichomshangaza Jagielka....... Aina na ya imani ya Rojo ni beki kwa beki kati yake na Jagielka ila namna Jagielka alivyoituni akili yake ishirikiane na mwili ndivyo walivyoendelea kukaribia katika record nyingine ya Ronald Koleman ndani ya OT.
Namna united wanavyocheza ndivyo united wanavyofeli..... Timu inakosa flow nzuri kuanzia katikati ya uwanja mpaka anapocheza Zlatan..... Mourinho vipi tuendelee kuandika au Bado unasoma...? Maana kilichomisi kwenye hii timu yako ni chemistry ili wale wachezaji waungane.....
Romelo Lukaku bhn kama anafinya yeye anapiga.... Hizi timu kubwa kazishindwa kabisa.
Usisahau huu Msimu ni wa lawama....
Manchester united 1-1Everton
...