Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwenu nyote wakùu

Nitangulize shukrani za dhati kwa mkuu Bitoz pamoja na makapuku wote kwa yote yaliongelewa usiku sikuwa available mda muafaka ila nimepitia yote yaliyosemwa ...shukrani

ni kweli mkuu bitozi wale wengi wakongwe wa kapuku wamekuachia kazi kubwa make wengi hawapo active kama mwanzoni japo huwa unasema anatoka mtu anaingia mtu maisha yanaendelea

- Naunga mkono kile kilichosemwa kuwa kapuku imekosa mvuto kama ilivyokuwa mwanzo make mambo mengi tunayakosa (segment zote muhimu)
Ila ndo maana mnaona tunaibua story tofauti hasa Mimi na transcend na wapendwa wetu zikiwemo kutibuana ila lengo ni kufanya forum yetu iwe active ...ndo maana 1k kwa Siku inakuwa simple sana

wengi wanadai mda ni kikwazo ila mm siungi mkono make ukijipanga na ukiwa na kitu chako kichwani ukitaka tukijue kwa kutushirikisha inawezekana ata kwa mda mfinyu sote tunabanwa ila tunajitahidi

Kuhusu swala la kuvunja moyo hilo linakatisha tamaa kiukweli na mm huwa naamini wachache wanayapitia magazeti make mara chache kuona mtu ameongezea minofu kwenye habari ila sitokata tamaa ndo maana nkaongeza UNBELIEVABLE FACTS...japo haijawaingia kichwani

My Note:

Tunaweza tukaifanya kapuku ikawa chanzo cha habari zote muhimu ata kwa ufupo..naamini wapo wengi wenye mambo mengi kichwani TUKIAMUA TUNAWEZA
#2 Tudumishe ushirikiano wetu hasa tunavoanza mwaka wetu mpya kwa kufanya kitu kwa moyo wote mfano mzee wa magazeti afanye ...historia afanyee ..je wajua isikose ,nukuu ya Leo ishapata tiba na yale yaliyoorozeshwa na rais bitoz tukiamua yanarud

Tunamis vitu kama story za hapa na pale ili kufanya jukwaa letu liwe active mda wote

utani ni jadi yetu tusisahau hilo

Mengi tutazidi kujulishana

Shukrani wakuu
Well said
Noted
 
205d52f0efd7aa4437d1d671f818cd2a.jpg


Home sweet home
Nimeshangazwa na hao vigogo kutiwa mbaroni huko Mara

Cc lee empire
 
Habari ya asubuhi ndugu Kapuku

Ni siku nyingine tena Muumba ametupatia ili tupate muda wa kujiuliza ni nini tunacho mpaka sasa tunatumia pumzi yake pasi na malipo.

Natoa shukrani zangu kwa Katibu lee empire kwa magazeti na unbelievable facts

Pia kwa le dictator aliyetoka kunusurika karibuni kupinduliwa Mr Mussolin5 kwa historia murua.

Heko kwa Transcend kwa new segment ya nukuu ya siku naona hakuna haja ya kupitia mwananchi ili tupate nukuu mbali mbali.

Mwisho napenda kuvaa viatu vipya, nimepewa na katibu wangu hapa, kutakuwa na new segment ya ratiba na matokeo ya mechi za mpira wa miguu katika nyanja ya kitaifa na kimataifa bila kusahau ligi kubwa barani ulaya.

Karibuni.
 
Matokeo ya EPL jana

3fddc8fafd713e9f4a4db5c111d7e41c.jpg


Hawa Leicester city wanachokifanya ndicho kinachomshangaza profesa Claudio R...kweli wameamua na timu zishaanza kuogopa kukutana na fox hawa


Alichokuwa hakiamini Rojo ndicho kilichomshangaza Jagielka....... Aina na ya imani ya Rojo ni beki kwa beki kati yake na Jagielka ila namna Jagielka alivyoituni akili yake ishirikiane na mwili ndivyo walivyoendelea kukaribia katika record nyingine ya Ronald Koleman ndani ya OT.

Namna united wanavyocheza ndivyo united wanavyofeli..... Timu inakosa flow nzuri kuanzia katikati ya uwanja mpaka anapocheza Zlatan..... Mourinho vipi tuendelee kuandika au Bado unasoma...? Maana kilichomisi kwenye hii timu yako ni chemistry ili wale wachezaji waungane.....

Romelo Lukaku bhn kama anafinya yeye anapiga.... Hizi timu kubwa kazishindwa kabisa.

Usisahau huu Msimu ni wa lawama....

Manchester united 1-1Everton
Mourinho na Fellaini ni km Mkulu na Bashite......hata Fella afanye madudu gani mechi inayofuata lazima acheze tu lakini kina Mata wakifanya kosa dogo tu bemchi linawahusu
.........
 
Matokeo ya EPL jana

3fddc8fafd713e9f4a4db5c111d7e41c.jpg


Hawa Leicester city wanachokifanya ndicho kinachomshangaza profesa Claudio R...kweli wameamua na timu zishaanza kuogopa kukutana na fox hawa


Alichokuwa hakiamini Rojo ndicho kilichomshangaza Jagielka....... Aina na ya imani ya Rojo ni beki kwa beki kati yake na Jagielka ila namna Jagielka alivyoituni akili yake ishirikiane na mwili ndivyo walivyoendelea kukaribia katika record nyingine ya Ronald Koleman ndani ya OT.

Namna united wanavyocheza ndivyo united wanavyofeli..... Timu inakosa flow nzuri kuanzia katikati ya uwanja mpaka anapocheza Zlatan..... Mourinho vipi tuendelee kuandika au Bado unasoma...? Maana kilichomisi kwenye hii timu yako ni chemistry ili wale wachezaji waungane.....

Romelo Lukaku bhn kama anafinya yeye anapiga.... Hizi timu kubwa kazishindwa kabisa.

Usisahau huu Msimu ni wa lawama....

Manchester united 1-1Everton
natamani na timu yangu asanali nao wakaze kamgomo baridi...tuendelee kupoteza ili bwana yule aombe poo.... bila hivyo haondoki.....
mmaabaaakeee...!!!..... ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom