Makapuku Forum

Makapuku Forum

Good tutaongeza ubora zaidi kuna kitu naplan tukilete humu tukifanye mm naww hope itakua bomba.
Juzi kati ulianzisha tabia ya kuongea kwa picha naona siku hizi umetulia ilikua inapendeza ujue.
d06369ecc87c63da963ec2d59cdda3ab.jpg


Sijatuliaa mkuu
 
The distance between Egypt and Israel is about 613km.But it took Moses and the Israelites 40 years to complete their journey. On average each day they walked only 43 metres.

Yes only 43 metres,almost half of what Usain Bolt do in 5 seconds.

I just wish if Moses was around to explain this laziness.
 
Samahani waungwana,
nina swali dogo nitaomba ufafanuzi wenu.
Ukiiangalia picha inayomuonyesha Rais mstaafu akiwa Bungeni jana,
1) Gazeti la Mwananchi na Tanzania daima inaonekana aliyefaa suti ya bluu yupo upande wa kulia wa Jakaya Kikwete,

2) Gazeti la Mtanzania na Uhuru inamuonyesha mtu huyo huyo yupo upande wa kushoto,

Swali, je imekuwaje hivyo? Wakati wote wamekaa sehemu moja? Au hao wasaidizi wake walibadilishana mkao?
Wataalamu picha na Kamera nisaidieni, na wengine pia kama una chochote usisite kuchangia.
Mkuu nahisi ni rotation ya picha moja imegeuzwa nyingine iko sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom