Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
sijambo mama mchungaji hofu kwako, ubarikiwe sana.Lee Empire umeamkaje mkuu,asante sana kwa magazeti Mungu akubariki siku yako iwe njema yenye mafanikio salaam kwa Shunie mkuu..
sijambo mama mchungaji hofu kwako, ubarikiwe sana.Lee Empire umeamkaje mkuu,asante sana kwa magazeti Mungu akubariki siku yako iwe njema yenye mafanikio salaam kwa Shunie mkuu..
za kwako baby zinatosha mm na ww ni mwili mmojaNa wewe tunataka segment yako
mm hapa mama mchuchu miss u yaan natamani nikuone mama mchungaji siku nikija kigamboni jiandae nitakutafutaNimemiss Shunie kwakweli
hutakiwi kukata tamaaNUKUU YA LEO
Kama jana ulianguka, leo simama
If you fell down yesterday, stand up today
Haya maneno yalipatwa kusemwa na Bwana Herbert George Wells, mwalimu, mwanahistoria , na mwaandishi wa Vitabu aliyeishi mwaka kati ya Sept 21 1866 hadi August 13 1946.
Hii Nukuu ilitolewa ikiwa na lengo la kuwapa watu moyo wa kutokata tamaa, kuwapa vujana moyo wa kujaribu tena kile kilichoonekana kushikana jana, kuwapa watu nafasi yaliyopita na kujaribu tena jambo..
H.G.Wells atakumbukwa pia kwa kazi zake nyingine kama The time machine, The invisible na The fisrt man on the moon..
![]()
![]()
Allways start from the ashes of yesterday's failure..
Goodmorning fam...
Sitakwambia kwa nini, maana mijadara ya kule huwa inaishia kule. Kuhusu nimekuwekea link za kutosha kwenye uzi wako, nenda kaosheoshe macho.



mkuu umeambiwa huku ni badooHahahaaa habari za asubuhi wakuu, akili yangu ipo kupata bibi tu
2012 - Bingu wa Mutharika
anafariki Dunia.
Alikuwa ni Rais wa awamu ya tatu nchini Malawi.
Asante Mussolin kwa historiaLeo Katika Historia:
Niwatakie Jumatano njema.
NoooooAsantee mkuu
Naona mondray kashindwa segment yakee
Hahahha baba mchungaji wa nyumbani au, mama mchungaji usitufanyie hivyoBaba mchungaji atafurahi sana kuona salamu zako asante mbarikiwe
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
hahahhh chief unajua mwanaume huyo
wavumilivu haoAhaaaaaah nimesikia nyie wanaasenaliii watu wavumilivu kuliko wote duniani
Anyway shunie anakusalimiaa

na vpl utuwekee nyageiRatiba ya mechi za leo tarehe 5/4/2017 ni kama ifuatavyo
EPL
![]()
Bundesliga
![]()
Copa Italia
![]()
LaLiga
![]()
Kenya Premium league
![]()
League 1
![]()
Uganda Premium league
![]()
Kigamboni mbaliiiiumm hapa mama mchuchu miss u yaan natamani nikuone mama mchungaji siku nikija kigamboni jiandae nitakutafuta

Leo unaingia mapema ??Ngoja niwahi biashara Zangu