Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1973 - Pharell Williams anazaliwa.
Ni mwanamuziki toka nchini Marekani.
Jamaa inaonekana kuwa na kaumbo kadogo km denti wa Sekondari
....
1973 - Pharell Williams anazaliwa.
Ni mwanamuziki toka nchini Marekani.
Kwema kabisa mkuu, kumekucha Salama huko na familia yetu?Denoo49 uko poa mkuu!
Mungu ni mwema tuko salamaKwema kabisa mkuu, kumekucha Salama huko na familia yetu?
1976 - Simone Inzaghi anazaliwa.
Straika wa zamani wa Lazio na timu ya taifa ya Italia.
Ni kaka wa Phillip Inzaghi, mshambuliaji wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Italia.
na topic yako ya kutaka kukaribishwa jana ilikua ulikua unapita tuJukwaa la wakubwa napitaga tu ndio maana hakuna comments yangu...mmu hua naenda kuchekesha watu tu.
hahahhh nilifurahi jana ulivyomkalibisha huku hatutaki manenoKule kunahitaji watu matured, kama ni under age usiende Huko.
na topic yako ya kutaka kukaribishwa jana ilikua ulikua unapita tu
ngoja nikwambie mondray labda hauelewi unavyosema majukwaa yangu ni chit chat na intelligence unatakiwa ata majukwaa mengine hata usionekane si kulike au comments hapo utakua umenielewa
, huo ushauri si bora ubigwe ban kabisa ijulikane.
hahahhh chizi wwThere is a vacancy![]()
Ameen NyageiNeno la kutafakari kabla ya kulala
Linatoka kwa Luka 4.18
Luke 4.18
![]()
![]()
USIKU MWEMA MAKAPUKU WOTE
Upendo wa Mungu baba ukakae nasi sote Amen.

nimeshaamka binamu mbona ulinikimbiaAmka sasa binamu, kumekucha hump day
1976 - Fernando Morientes anazaliwa.
Straika wa zamani wa Real Madrid, Monaco, Liverpool na timu ya taifa ya Spain.
Ametwaa klabu bingwa ulaya mara tatu akiwa na Real Madrid.
santee baby kwa magazetiUdaku ...![]()
kwa sbbu ya skirt fupiSijui kwanini kurasa za michezo hazinivutii wiki hii
FYI, mimi ni shabiki wa Simba na Chelsea, ila siku hizi napenda zaidi Netball


morning hunnie hope umeamka salama, miss u too cheusi wanguBaby good morning swt ...nimekumis sana cheupe wangu
hivi jana ulikamatika wapi lkn
kwan jana haujaenda clubJamaaaaniii
Vipi kakusingizia baby wako ?msamehe mkuu

mama mchungaji jamaan
MmhJaman nitapata mke humu?