Makapuku Forum

Makapuku Forum

fbf379f53ba971614b6ec402e6350c87.jpg
 
The distance between Egypt and Israel is about 613km.But it took Moses and the Israelites 40 years to complete their journey. On average each day they walked only 43 metres.

Yes only 43 metres,almost half of what Usain Bolt do in 5 seconds.

I just wish if Moses was around to explain this laziness.
Ukiisoma bible kwa akili za kawaida utagundua imejaa makosa/mapungufu/uongo 70%+

Ila ukiisoma kiimani utasema ipo sawa 100%+ .....Hivyo inategemeana na namna ulivyochagua either kutumia akili zako au kuitumia Imani yako
..........
 
Samahani waungwana,
nina swali dogo nitaomba ufafanuzi wenu.
Ukiiangalia picha inayomuonyesha Rais mstaafu akiwa Bungeni jana,
1) Gazeti la Mwananchi na Tanzania daima inaonekana aliyefaa suti ya bluu yupo upande wa kulia wa Jakaya Kikwete,

2) Gazeti la Mtanzania na Uhuru inamuonyesha mtu huyo huyo yupo upande wa kushoto,

Swali, je imekuwaje hivyo? Wakati wote wamekaa sehemu moja? Au hao wasaidizi wake walibadilishana mkao?
Wataalamu picha na Kamera nisaidieni, na wengine pia kama una chochote usisite kuchangia.
Jibu:
1/Inawezekana wamegeuza picha kwa kusudio maalum,
2/Inawezekana ni wamegeuza picha bahati mbaya tu
Hata ww ukitumia photo editor Unaweza kugeuza picha kushoto kulia
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom