Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
HahahaaaaBaby Mondray!! Nimekumisi mpaka utumbo unanyofoka!!! Waendeleaje sweety!!!
Kwani papuchi ni nini?Hii Id yako nimeisoma PAPUCHI!!!
Mbona jina tata hivyooo!!
Natamani kujua nami,ngoja wataalamu waje hapa
Shunie Ukiwa unaenda kumuona BlessedHope nishtue.Karibu najua Mungu atatukutanisha sooon karibu sana
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Nakumbuka akati nasoma divinity kuna sehemu tulisoma kua wanaisraeli hawakutumia njia ya moja kwa moja kwa sababu kulikua na maadui huko kwahiyo iliwabidi wazunguke sana kukwepa maaduiThe distance between Egypt and Israel is about 613km.But it took Moses and the Israelites 40 years to complete their journey. On average each day they walked only 43 metres.
Yes only 43 metres,almost half of what Usain Bolt do in 5 seconds.
I just wish if Moses was around to explain this laziness.
Ilikua inapendeza sanaGood tutaongeza ubora zaidi kuna kitu naplan tukilete humu tukifanye mm naww hope itakua bomba.
Juzi kati ulianzisha tabia ya kuongea kwa picha naona siku hizi umetulia ilikua inapendeza ujue.
Umerudi mpenz karibu.Ilikua inapendeza sana
AmenMorning ma Bibi kwa ma Bwana. Heri ya siku hii iwe njema na yenye mafananiko kwenu.
Asante dear!!! Maisha yalinikamata kidogoUmerudi mpenz karibu.
Ndio hata kuniaga baiby. Ila usijali nimelitunza penzi lako wala sijachepukaAsante dear!!! Maisha yalinikamata kidogo
Samahani Honey bunnyNdio hata kuniaga baiby. Ila usijali nimelitunza penzi lako wala sijachepuka
!!!Ndio maana yakehutakiwi kukata tamaa
Umeniletea nini kutoka huko?Samahani Honey bunny![]()
![]()
!!!
Asante kwa kunitunzia penzi langu!!! Sijui ningefanyaje mimi!!!
Love you to the moon and back!
Aende MMUmkuu umeambiwa huku ni badoo