Makapuku Forum

Makapuku Forum

Matokeo ya EPL jana

3fddc8fafd713e9f4a4db5c111d7e41c.jpg


Hawa Leicester city wanachokifanya ndicho kinachomshangaza profesa Claudio R...kweli wameamua na timu zishaanza kuogopa kukutana na fox hawa


Alichokuwa hakiamini Rojo ndicho kilichomshangaza Jagielka....... Aina na ya imani ya Rojo ni beki kwa beki kati yake na Jagielka ila namna Jagielka alivyoituni akili yake ishirikiane na mwili ndivyo walivyoendelea kukaribia katika record nyingine ya Ronald Koleman ndani ya OT.

Namna united wanavyocheza ndivyo united wanavyofeli..... Timu inakosa flow nzuri kuanzia katikati ya uwanja mpaka anapocheza Zlatan..... Mourinho vipi tuendelee kuandika au Bado unasoma...? Maana kilichomisi kwenye hii timu yako ni chemistry ili wale wachezaji waungane.....

Romelo Lukaku bhn kama anafinya yeye anapiga.... Hizi timu kubwa kazishindwa kabisa.

Usisahau huu Msimu ni wa lawama....

Manchester united 1-1Everton
Fact JM kapoteza morali ya timu hivi sasa nashindwa kabisa kumuelewa approach yake ya game za OT
 
Wapendwa makapuku naamini mmeamka salama ,namshukuru Mungu nimeamshwa salama nawatakia siku njema yenye baraka tele wagonjwa poleni,na wenye changamoto mbalimbali msikate tamaa Mungu ataingilia kati,wafiwa Mungu awafariji,watu wote Mungu awatangulie katika kila jambo kazi zenu zikapate baraka na mafanikio mtangulizeni Mungu katika kila jambo..mbarikiwe sana sana.Amen
 
NUKUU YA LEO

Kama jana ulianguka, leo simama

If you fell down yesterday, stand up today


Haya maneno yalipatwa kusemwa na Bwana Herbert George Wells, mwalimu, mwanahistoria , na mwaandishi wa Vitabu aliyeishi mwaka kati ya Sept 21 1866 hadi August 13 1946.

Hii Nukuu ilitolewa ikiwa na lengo la kuwapa watu moyo wa kutokata tamaa, kuwapa vujana moyo wa kujaribu tena kile kilichoonekana kushikana jana, kuwapa watu nafasi yaliyopita na kujaribu tena jambo..

H.G.Wells atakumbukwa pia kwa kazi zake nyingine kama The time machine, The invisible na The fisrt man on the moon..

fae00d77412532c035e83b9bc4939d2f.jpg


f28eefcef953d2a66dd9bbf6f2010534.jpg


Allways start from the ashes of yesterday's failure..

Goodmorning fam...
What a day?

I appreciate it bro
Nimejikuta tu napata tumaini upya tu

Barikiwa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom