Makapuku Forum

Makapuku Forum

Michezo...
8a676624f940091944f035802fae8748.jpg
591de66bc7a6fe1475a3aa78e2c54804.jpg
f51300622293e5d79db896c020c2f382.jpg
ce50468d7719182f915cb073a4b052c8.jpg
3d8753f3990a81c66819b6d2bdaf6d19.jpg
 
Matokeo ya EPL jana

3fddc8fafd713e9f4a4db5c111d7e41c.jpg


Hawa Leicester city wanachokifanya ndicho kinachomshangaza profesa Claudio R...kweli wameamua na timu zishaanza kuogopa kukutana na fox hawa


Alichokuwa hakiamini Rojo ndicho kilichomshangaza Jagielka....... Aina na ya imani ya Rojo ni beki kwa beki kati yake na Jagielka ila namna Jagielka alivyoituni akili yake ishirikiane na mwili ndivyo walivyoendelea kukaribia katika record nyingine ya Ronald Koleman ndani ya OT.

Namna united wanavyocheza ndivyo united wanavyofeli..... Timu inakosa flow nzuri kuanzia katikati ya uwanja mpaka anapocheza Zlatan..... Mourinho vipi tuendelee kuandika au Bado unasoma...? Maana kilichomisi kwenye hii timu yako ni chemistry ili wale wachezaji waungane.....

Romelo Lukaku bhn kama anafinya yeye anapiga.... Hizi timu kubwa kazishindwa kabisa.

Usisahau huu Msimu ni wa lawama....

Manchester united 1-1Everton
 
Mimi naomba kwanzia leo nichukue jukumu la "NUKUU YA LEO "


Itakuwa Segment ya kila siku ( siku za jumatatu mpaka jumamosi) asubuhi, kama nisipoweka asubuhi nitaweka jioni.


Naomba niitende haki hii..nitakuwa naweka kwa nukuu kwa lugha ya kiingereza na kiswahili..then nitadadavua kidogoo juu ya Nukuu..

Siku ambayo nitatingwa mtaniwia radhi wakuu..

All the best wakuu..
Asantee mkuu

Naona mondray kashindwa segment yakee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom