BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Lee Empire umeamkaje mkuu,asante sana kwa magazeti Mungu akubariki siku yako iwe njema yenye mafanikio salaam kwa Shunie mkuu..
Na wewe tunataka segment yakomm kapuku najihisi kama nipo kiwanja cha nyumban kama vile old trafford huko kwingine sina uhuru napo yaan humu mtu unakua upo free mnaongea vitu tofauti
yote kwa yote mtakayoafiki na kuongeza tupo pamoja mbarikiwe
Mbona mkuu mm huwa natumia simuMkuu sio wote tunazo access kama PA binafsi nimtumiaji wa simu kukupa backup ya picha nitakuwa muongo ndio maana nakuwa msemaji na msomaji mzuri kuliko kutoa backup
Asante mkuuTupate kidogo matokeo ya mechi zilizochezwa tarehe 4/4/2017
EPL
![]()
Bundesliga
![]()
Copa Italian
![]()
LaLiga
![]()
Ahaaaaah bhinamuSijui kwanini kurasa za michezo hazinivutii wiki hii
FYI, mimi ni shabiki wa Simba na Chelsea, ila siku hizi napenda zaidi Netball
Pamoja bhinamuMjomba lee empire asante kwa magazeti. Much respect and we appreciate buddy. nidai biere kuna zile castle light ziko kwenye kiboksi
Mama mchungaji Mimi simvurugiVipi kakusingizia baby wako ?msamehe mkuu
Mkuu bila hata salamu ??Jaman nitapata mke humu?
Asante sana mama mchuchu *in shunie voice* kwa kuyapitiaaLee Empire umeamkaje mkuu,asante sana kwa magazeti Mungu akubariki siku yako iwe njema yenye mafanikio salaam kwa Shunie mkuu..
Mbona kasema hapoMama mchungaji Mimi simvurugi
Nimemiss Shunie kwakweliAsante sana mama mchuchu *in shunie voice* kwa kuyapitiaa
Atairudisha labda mkuu...Asantee mkuu
Naona mondray kashindwa segment yakee
Mkuu asante sana tushakionaaAtairudisha labda mkuu...
Nishatia kitu hapo juu mkuu..
Sitakwambia kwa nini, maana mijadara ya kule huwa inaishia kule. Kuhusu nimekuwekea link za kutosha kwenye uzi wako, nenda kaosheoshe macho.Kwanini bro.
Morning my world..T wa moyo wa Sakayo, lala ukiwa unajua nakupenda sana, uamke ukiwa na afya kuliko jana sweetie.
Sakayo anakuhitaji bado!!!!