Makapuku Forum

Makapuku Forum

Habari ya asubuhi ndugu Kapuku

Ni siku nyingine tena Muumba ametupatia ili tupate muda wa kujiuliza ni nini tunacho mpaka sasa tunatumia pumzi yake pasi na malipo.

Natoa shukrani zangu kwa Katibu lee empire kwa magazeti na unbelievable facts

Pia kwa le dictator aliyetoka kunusurika karibuni kupinduliwa Mr Mussolin5 kwa historia murua.

Heko kwa Transcend kwa new segment ya nukuu ya siku naona hakuna haja ya kupitia mwananchi ili tupate nukuu mbali mbali.

Mwisho napenda kuvaa viatu vipya, nimepewa na katibu wangu hapa, kutakuwa na new segment ya ratiba na matokeo ya mechi za mpira wa miguu katika nyanja ya kitaifa na kimataifa bila kusahau ligi kubwa barani ulaya.

Karibuni.
Asante mkuu mwekahazina kwa kupitia magazeti na nakuu bila kusahau historia

Tunakutegemea kwa segment yakoo
 
Wakuu kumekuchaa salama tumshukuru aliye juu kwa hiloo


8c51484c8b7adc9ade381e9ead00ef03.jpg
6ff40606a9c5200ddac9e32a45a46e9e.jpg
d64b10ef14d0eb792e734153a57d49c9.jpg
910d1706191e0c22c051ef4bc34a46f3.jpg
2f437053e91212df55b574ab366739f4.jpg
ab039afc940f2a99ed8b434349588bdc.jpg
508722eaf7a49b36b877c0820ca534fd.jpg
Namuona Bashite front page Uhuru pekee

......
 
Kwenu nyote wakùu

Nitangulize shukrani za dhati kwa mkuu Bitoz pamoja na makapuku wote kwa yote yaliongelewa usiku sikuwa available mda muafaka ila nimepitia yote yaliyosemwa ...shukrani

ni kweli mkuu bitozi wale wengi wakongwe wa kapuku wamekuachia kazi kubwa make wengi hawapo active kama mwanzoni japo huwa unasema anatoka mtu anaingia mtu maisha yanaendelea

- Naunga mkono kile kilichosemwa kuwa kapuku imekosa mvuto kama ilivyokuwa mwanzo make mambo mengi tunayakosa (segment zote muhimu)
Ila ndo maana mnaona tunaibua story tofauti hasa Mimi na transcend na wapendwa wetu zikiwemo kutibuana ila lengo ni kufanya forum yetu iwe active ...ndo maana 1k kwa Siku inakuwa simple sana

wengi wanadai mda ni kikwazo ila mm siungi mkono make ukijipanga na ukiwa na kitu chako kichwani ukitaka tukijue kwa kutushirikisha inawezekana ata kwa mda mfinyu sote tunabanwa ila tunajitahidi

Kuhusu swala la kuvunja moyo hilo linakatisha tamaa kiukweli na mm huwa naamini wachache wanayapitia magazeti make mara chache kuona mtu ameongezea minofu kwenye habari ila sitokata tamaa ndo maana nkaongeza UNBELIEVABLE FACTS...japo haijawaingia kichwani

My Note:

Tunaweza tukaifanya kapuku ikawa chanzo cha habari zote muhimu ata kwa ufupo..naamini wapo wengi wenye mambo mengi kichwani TUKIAMUA TUNAWEZA
#2 Tudumishe ushirikiano wetu hasa tunavoanza mwaka wetu mpya kwa kufanya kitu kwa moyo wote mfano mzee wa magazeti afanye ...historia afanyee ..je wajua isikose ,nukuu ya Leo ishapata tiba na yale yaliyoorozeshwa na rais bitoz tukiamua yanarud

Tunamis vitu kama story za hapa na pale ili kufanya jukwaa letu liwe active mda wote

utani ni jadi yetu tusisahau hilo

Mengi tutazidi kujulishana

Shukrani wakuu
Asante Lee ubarikiwe

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Habari ya asubuhi ndugu Kapuku

Ni siku nyingine tena Muumba ametupatia ili tupate muda wa kujiuliza ni nini tunacho mpaka sasa tunatumia pumzi yake pasi na malipo.

Natoa shukrani zangu kwa Katibu lee empire kwa magazeti na unbelievable facts

Pia kwa le dictator aliyetoka kunusurika karibuni kupinduliwa Mr Mussolin5 kwa historia murua.

Heko kwa Transcend kwa new segment ya nukuu ya siku naona hakuna haja ya kupitia mwananchi ili tupate nukuu mbali mbali.

Mwisho napenda kuvaa viatu vipya, nimepewa na katibu wangu hapa, kutakuwa na new segment ya ratiba na matokeo ya mechi za mpira wa miguu katika nyanja ya kitaifa na kimataifa bila kusahau ligi kubwa barani ulaya.

Karibuni.
Pamoja mkuu..

Sasa hivi Lazima jf waelewe Makupuku...


Hii tunaita

The Revival of Makapuku forum
 
NUKUU YA LEO

Kama jana ulianguka, leo simama

If you fell down yesterday, stand up today


Haya maneno yalipatwa kusemwa na Bwana Herbert George Wells, mwalimu, mwanahistoria , na mwaandishi wa Vitabu aliyeishi mwaka kati ya Sept 21 1866 hadi August 13 1946.

Hii Nukuu ilitolewa ikiwa na lengo la kuwapa watu moyo wa kutokata tamaa, kuwapa vujana moyo wa kujaribu tena kile kilichoonekana kushikana jana, kuwapa watu nafasi yaliyopita na kujaribu tena jambo..

H.G.Wells atakumbukwa pia kwa kazi zake nyingine kama The time machine, The invisible na The fisrt man on the moon..

fae00d77412532c035e83b9bc4939d2f.jpg


f28eefcef953d2a66dd9bbf6f2010534.jpg


Allways start from the ashes of yesterday's failure..

Goodmorning fam...
3ce2199d0890cad61de577ec43de5772.jpg
88f8e8129fca280e00b3148872b01cb7.jpg
818cbeeb5a22153a2a965271433da868.jpg
a628e0e234ec5d994e031fa5c531f1ef.jpg
23400db1f9bfa08e9e5efcb4334e2c3b.jpg
Kaandika vitabu vingi vya kusisimua
.....
 
Ratiba ya mechi za leo tarehe 5/4/2017 ni kama ifuatavyo

EPL
a6df4c0cff02ac3fb7923c0c436b3537.jpg


Bundesliga
97d90e69c63c25482bbc038859631253.jpg


Copa Italia
01bd0dc94f29f5fdacabe2d66fbd2c91.jpg


LaLiga
f8a9b0b4fd395418297b837491687a8d.jpg


Kenya Premium league
52bf06adedb73b4d2c9484dd5bfb2f00.jpg


League 1
7a84ca1f7fbf7ea126bdbba7fc9c55e8.jpg


Uganda Premium league
0b3c784395622ec58243751d73dc496a.jpg
Mwekahazina umetishaa hayo ndo mambo

Epl Leo ni Leo namuombea mabaya spurs make city Leo siamini kikosi changu Leo ila point muhimu Leo

Napoli na juventus bonge la mechi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom