Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwenu nyote wakùu

Nitangulize shukrani za dhati kwa mkuu Bitoz pamoja na makapuku wote kwa yote yaliongelewa usiku sikuwa available mda muafaka ila nimepitia yote yaliyosemwa ...shukrani

ni kweli mkuu bitozi wale wengi wakongwe wa kapuku wamekuachia kazi kubwa make wengi hawapo active kama mwanzoni japo huwa unasema anatoka mtu anaingia mtu maisha yanaendelea

- Naunga mkono kile kilichosemwa kuwa kapuku imekosa mvuto kama ilivyokuwa mwanzo make mambo mengi tunayakosa (segment zote muhimu)
Ila ndo maana mnaona tunaibua story tofauti hasa Mimi na transcend na wapendwa wetu zikiwemo kutibuana ila lengo ni kufanya forum yetu iwe active ...ndo maana 1k kwa Siku inakuwa simple sana

wengi wanadai mda ni kikwazo ila mm siungi mkono make ukijipanga na ukiwa na kitu chako kichwani ukitaka tukijue kwa kutushirikisha inawezekana ata kwa mda mfinyu sote tunabanwa ila tunajitahidi

Kuhusu swala la kuvunja moyo hilo linakatisha tamaa kiukweli na mm huwa naamini wachache wanayapitia magazeti make mara chache kuona mtu ameongezea minofu kwenye habari ila sitokata tamaa ndo maana nkaongeza UNBELIEVABLE FACTS...japo haijawaingia kichwani

My Note:

Tunaweza tukaifanya kapuku ikawa chanzo cha habari zote muhimu ata kwa ufupo..naamini wapo wengi wenye mambo mengi kichwani TUKIAMUA TUNAWEZA
#2 Tudumishe ushirikiano wetu hasa tunavoanza mwaka wetu mpya kwa kufanya kitu kwa moyo wote mfano mzee wa magazeti afanye ...historia afanyee ..je wajua isikose ,nukuu ya Leo ishapata tiba na yale yaliyoorozeshwa na rais bitoz tukiamua yanarud

Tunamis vitu kama story za hapa na pale ili kufanya jukwaa letu liwe active mda wote

utani ni jadi yetu tusisahau hilo

Mengi tutazidi kujulishana

Shukrani wakuu
 
Matokeo ya EPL jana

3fddc8fafd713e9f4a4db5c111d7e41c.jpg


Hawa Leicester city wanachokifanya ndicho kinachomshangaza profesa Claudio R...kweli wameamua na timu zishaanza kuogopa kukutana na fox hawa


Alichokuwa hakiamini Rojo ndicho kilichomshangaza Jagielka....... Aina na ya imani ya Rojo ni beki kwa beki kati yake na Jagielka ila namna Jagielka alivyoituni akili yake ishirikiane na mwili ndivyo walivyoendelea kukaribia katika record nyingine ya Ronald Koleman ndani ya OT.

Namna united wanavyocheza ndivyo united wanavyofeli..... Timu inakosa flow nzuri kuanzia katikati ya uwanja mpaka anapocheza Zlatan..... Mourinho vipi tuendelee kuandika au Bado unasoma...? Maana kilichomisi kwenye hii timu yako ni chemistry ili wale wachezaji waungane.....

Romelo Lukaku bhn kama anafinya yeye anapiga.... Hizi timu kubwa kazishindwa kabisa.

Usisahau huu Msimu ni wa lawama....

Manchester united 1-1Everton
 
Wapendwa makapuku naamini mmeamka salama ,namshukuru Mungu nimeamshwa salama nawatakia siku njema yenye baraka tele wagonjwa poleni,na wenye changamoto mbalimbali msikate tamaa Mungu ataingilia kati,wafiwa Mungu awafariji,watu wote Mungu awatangulie katika kila jambo kazi zenu zikapate baraka na mafanikio mtangulizeni Mungu katika kila jambo..mbarikiwe sana sana.Amen
Amen.....ahsante Mama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom