Nawe pia ulale salama mume wa Sakayo!!!Baby ake!
Mwanamke wa nafsi yangu...
Kipenzi cha roho yangu..
Nakutakia usiku mwema ! Uwe na njozi murua..
Mungu akulinde asubuhi uamke salama na mwenye afya..
I love you sakayo..
Nawe pia uwe na usiku mwemaNeno la kutafakari kabla ya kulala
Linatoka kwa Luka 4.18
Luke 4.18
![]()
![]()
USIKU MWEMA MAKAPUKU WOTE
Upendo wa Mungu baba ukakae nasi sote Amen.
Njema mkuuHabari zenu
Asante ubarikiweMimi naomba kwanzia leo nichukue jukumu la "NUKUU YA LEO "
Itakuwa Segment ya kila siku ( siku za jumatatu mpaka jumamosi) asubuhi, kama nisipoweka asubuhi nitaweka jioni.
Naomba niitende haki hii..nitakuwa naweka kwa nukuu kwa lugha ya kiingereza na kiswahili..then nitadadavua kidogoo juu ya Nukuu..
Siku ambayo nitatingwa mtaniwia radhi wakuu..
All the best wakuu..

Hahahaha mweh!Baba mchungaji
Pole sana mkuu ,ni vizuri useme nini kilikuvunja moyo mkuu ,kumbuka sisi ni binadamu hatujui mapungufu yetu nahitaji kutokukuvunja moyo,nini kinakuvunja moyo nisaidie nibadilike.Kuna kiyu kaongea bitozi kua kupost labda magazeti halaf watu hawampi sapoti hiyo inamvunja moyo mletaji. Nisiwe mnafiki mm ni mmoja wapo niliovunjika moyo ila kiasi chake lee anajitahidi kunipa spirit ya kuendelea kwa kuweka picha.
Asante mkuu,nakuelewaBitoz na wadau wote wa Makapuku, heshima kwenu.
Kwanza, umeongea jambo zuri na la kufikirisha, yale mambo uliyotaja kuwepo kipindi hicho na kwa sasa yamekosekana yaweza kuwa sababu ya kuwepo kwa majukwaa mengine mahsusi kwayo, na ndiyo maana hakuna mdau anayejaribu kuweka kapuku songs japo za kubabia, lakini kwa mwongozo uliotoa basi hii segment inaweza kuwepo humu baada ya kuwa tumepata magazeti toka kwa lee empire na Shunie na historia ikiongozwa na Mussolin5 na bila kusahau kazi nzuri unayofanya Bitoz ya kunogesha historia kwa mapicha.
Kitu kinachoifanya Makapuku kuwa ya kipekee ni dhana nzima ya "acknowledgement" wataalamu wa maswala ya Utawala na Mahusiano wanasema ni muhimu kutambua mchango wa kila mmoja hata kama hukipendi na hii inatoa fursa ya kuelewana na kuelekezana, majukwaa mengine yamekosa hili isipokuwa hapa. kwingine ni kila mmoja kujidai anajua, anakaa Dar na ana gari, na kujiona bila 'yeye' jf au jukwaa fulani halip. Nimekuwa huku kitambo, nbajua naongea nini.
Kapuku forum ni 'da bomb'- 'Excellent, the best'
Thread kukosa mvuto, hii inaweza kuwa kweli au si kweli kutokana na nani anaitoa hoja hii, kwa mgeni huku anaona kapuku ndiyo forum iliyochangamka sana (bila kujali kinachochgangiwa na wadau-iwe ni story zisiszoisha, BS, na blah blah nyingi).
Well, bado kuna muda wa kuboresha kwa hoja chokonozi uliyoleta.
Heshima kwako na wadau wote. Usiku mwema.
Mondray mida ya swala usijesema nimekesha humu tena
Leo kila anafunguka...wote ni washikaji hivyo tunaongea kwa upendo tu
kumpa mtu respect ni pamoja na kumuunga mtu mkono mada/kipindi alicholeta mfano kuzungumzia walau gazeti/habari iliyokugusa lakini unakuta mtu yupo bize na "my love"
![]()
![]()
![]()
![]()
........

Njema karibuHabari zenu wakuu?
Karibu Shuniemm kapuku najihisi kama nipo kiwanja cha nyumban kama vile old trafford huko kwingine sina uhuru napo yaan humu mtu unakua upo free mnaongea vitu tofauti
yote kwa yote mtakayoafiki na kuongeza tupo pamoja mbarikiwe
Ubarikiwe mkuu Bitoz naheshimu sana mchango wako hapa Makapuku ,kazi yako ni njema.Wakuu tukutane asubuhi maana game la Man Utd v Everton linazidi kuchanganya
Nawashukuru wote mliotoa maoni
One Love
...............
Nawe pia mkuuWakuu..
Nawatakia usiku mwema wote
Asante mkuu ubarikiweTupate kidogo matokeo ya mechi zilizochezwa tarehe 4/4/2017
EPL
![]()
Bundesliga
![]()
Copa Italian
![]()
LaLiga
![]()
AMEN ASANTE KWA NENO,UWE NAWE DAIMA ,UBARIKIWENeno la kutafakari kabla ya kulala
Linatoka kwa Luka 4.18
Luke 4.18
![]()
![]()
USIKU MWEMA MAKAPUKU WOTE
Upendo wa Mungu baba ukakae nasi sote Amen.
Amen nawe pia ubarikiweWanafamilia Muwe na usiku tulivu, Mungu wangu zaidi kuwapigania