NIKO POAbaby wangu uko ap jamaan nimekumiss tu sijui ndio akili za jana usikuila Mungu anakuona ujue
kwa nn unapendaga kunivuruga lkn
miss u sanaa mzee wa kilinge nipo poa sema tu hali ya hewa ya leo nilimmiss jux wanguThunie nilikumiss leo kweli hope uko bomba bibie.
kwan ww ndio bae wanguNIKO POA
namwambia blaza lee....miss u sanaa mzee wa kilinge nipo poa sema tu hali ya hewa ya leo nilimmiss jux wangu
sijui ww unaendeleaje
..!!!..
Daaah isee nimenalikiwaWapendwa Makapuku namshukuru Mungu kutuamsha salama na kutufikisha umbali huu,tunapaswa kumshukuru Mungu kwa yote anayotutendea maana anatupenda anatutunza na hajatuaacha katika mapito yote wako wengi wanatamani kuwa kama sisi hawajaweza,wengine hawajaamka kabisa,wengine wako vitandani wanaugulia na hata wengine hawana tumaini tena tumuombe Mungu atusaidie kuwa wavumilivu tunapopitia changamoto mbalimbali maana ndio ubinadamu,naomba Amani itawale ,upendo na mshikamano ....tufanye kazi kwa bidii huku tukimshirikisha Mungu katika kila jambo ..nawatakia jumanne njema ndoto zetu zikafanikiwe..nawapenda sana sana muwe na kila sababu ya kufurahia maisha na zawadi hii adimu ya uhai tuliopewa na baraka zote..Amen
huyo jux ndio lee mwenyewe

kumbe baby una walinzi hivi
Shemu hiki ndio kiapo changu mods pamoja na makapuku watakuwa mashaidishedede jamaan kawa adimu soudy umemissika eb fanya ukuje utusalimie
Uyo werrason namuelewa vzr kabisa uyoNgojaa nimshtue mzee mkavu shedede aanzee kuwanyumbua mnajifanya hamtaki mascendo
videmu vitamuuaShemu hiki ndio kiapo changu mods pamoja na makapuku watakuwa mashaidi
Mimi soudy brown au mzizi mkavu nitakuwa mwanakapuku haijarishi sina manzi au rahaaa na shunie,sakayo,ukhuty wote ni mashemeji zangu nitawaeshimu sana kina mondray,lee empire,transcend
Nimeapa nikiwa na akil timamu kabisa na kila asubuhi,mchana na hata jioni lazima nipite humu nisalimie
My take:shemela unajua ubusy ila nipo
Conclusion..
.....kapuku live long
Jamani kama ipo kifunny unarususiwa kucheka ata kimya kimya![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kapuku oyeeeee.

Uyo werrason namuelewa vzr kabisa uyo![]()
![]()
![]()
videmu vitamuua

KaribuDaaah isee nimenalikiwa