Makapuku Forum

Makapuku Forum

inabidi tubadilike kwakweli Bitoz umeongea ukweli
Mi nimeongea tu kwavile mtu ametaka kuelezwa changamoto hivyo nimeamua kusema ukweli

Hata watu wakiamua kutobadilika ni uamuzi wao maana siwezi kupata hasara yoyote km unavyojua kila mtu ana maisha yake ila thread imetukutanisha pamoja na kuwa marafiki/kuzoeana
Hivyo ni hiyari siyo lazima
.......
 
Mi nimeongea tu kwavile mtu ametaka kuelezwa changamoto hivyo nimeamua kusema ukweli

Hata watu wakiamua kutobadilika ni uamuzi wao maana siwezi kupata hasara maana km unavyojua kila mtu ana maisha yake ila thread imetukutanisha pamoja na kuwa marafiki/kuzoeana
Hivyo ni hiyari siyo lazima
.......
Yaaah mkuu iyo ni kweli watu kama wakina shunie uwa nakutananao mmu siwapi ata mambo huku free sana tunasalimiana vzr tu kule mmu ukisema mambo umefeli sana wanajua unanyapia nyapia.
 
Mkuu ipo hivi mleta kipindi mfano magazeti anapoona hatumpi respect inamvunja moyo japo hawezi kusema..... Hata ww Unaweza kuyarudisha hayo maujanja kwa kubuni kitu na siyo kutegemea fulani ndo afanye
.........
Mimi naomba kwanzia leo nichukue jukumu la "NUKUU YA LEO "


Itakuwa Segment ya kila siku ( siku za jumatatu mpaka jumamosi) asubuhi, kama nisipoweka asubuhi nitaweka jioni.


Naomba niitende haki hii..nitakuwa naweka kwa nukuu kwa lugha ya kiingereza na kiswahili..then nitadadavua kidogoo juu ya Nukuu..

Siku ambayo nitatingwa mtaniwia radhi wakuu..

All the best wakuu..
 
8893fd1f686bda0886db23abacdd954e.jpg
Baba mchungaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom