BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
VungaaHalafu wewe
Umeibuka na pole tu
Ukuje na chocolate
Shemu hiki ndio kiapo changu mods pamoja na makapuku watakuwa mashaidi
Mimi soudy brown au mzizi mkavu nitakuwa mwanakapuku haijarishi sina manzi au rahaaa na shunie,sakayo,ukhuty wote ni mashemeji zangu nitawaeshimu sana kina mondray,lee empire,transcend
Nimeapa nikiwa na akil timamu kabisa na kila asubuhi,mchana na hata jioni lazima nipite humu nisalimie
My take:shemela unajua ubusy ila nipo
Conclusion..
.....kapuku live long
Jamani kama ipo kifunny unarususiwa kucheka ata kimya kimya![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kapuku oyeeeee.

Naaam Baby wanguHunie
Nambie mama!Hunie
Kisheti upo...Ahsante shem wangu siku nyingi sijamuona T
Ngoja niongee kidogo kwenye changamoto maana trh 9 badoNilisikia kua tarehe 9 Kapuku inatimiza mwaka mmoja. Baasi naombeni mtuandalie Biography fupi kuhusu kapuku ikiwemo na..
*majina yote ya members kutoka kipindi imeanzishwa.
*Changamoto
*mafanikio n.k
Nini kifanyike?Ngoja niongee kidogo kwenye changamoto maana trh 9 bado
Changamoto kubwa ni "kujisahau" kwa baadhi ya members wa mwanzo pamoja na wale wa after 6 months na kuendelea.......thread ilianza km movement ya kupinga manyanyaso JF kutoka kwa wakomgwe zen ikaja kuwa thread inayohusu mambo mbalimbali(vipindi mbalimbali) mfano,
Top 10
Je Wajua
Kapuku Songs
Hadithi
Old is gold
Nukuu ya leo
Update za mpira
Magazeti asubuhi
Leo ktk historia
Fix za Bitoz n.k
Hapo uzi ukawa moto na unafuatiliwa hadi na wakongwe maana nilikuwa na vitu kibao vya kijanja....kitendo cha baadhi ya member kujisahau pamoja na kujiona wapo juu na kuanza mizinguo kikafanya vipindi vipunguo(now vipo viwili tu vya kueleweka ambavyo ni magazeti tu na historia) hivyo kufanya thread ipoteze mvuto/kufuatiliwa na kisha kutawaliwa na "stori zisizoisha asubuhi hadi usiku"..... Kiukweli bila kupepesa macho thread inapoteza mvuto
...............................................
NakupendaNaaam Baby wangu
Nambie mama!
Miss you already...
Shemu hiki ndio kiapo changu mods pamoja na makapuku watakuwa mashaidi
Mimi soudy brown au mzizi mkavu nitakuwa mwanakapuku haijarishi sina manzi au rahaaa na shunie,sakayo,ukhuty wote ni mashemeji zangu nitawaeshimu sana kina mondray,lee empire,transcend
Nimeapa nikiwa na akil timamu kabisa na kila asubuhi,mchana na hata jioni lazima nipite humu nisalimie
My take:shemela unajua ubusy ila nipo
Conclusion..
.....kapuku live long
Jamani kama ipo kifunny unarususiwa kucheka ata kimya kimya![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kapuku oyeeeee.



kapuku oyeeeeeee ilikua slogan yako ulivyokua mgeni lee sijui alikua anakujibu nnMmmmhSio Noah gariNoah mnyama
leo kukesha vipiiiiUyo werrason namuelewa vzr kabisa uyo![]()
![]()
![]()
videmu vitamuua
Sasa kwanini yale maujuz yasirudishwe ili kiwavutia watu wengi but mimi naona tukiwa hivi ni salama salmini kuliko kuwa wengi alafu ukikosa tu kuwa online dakika mbili reply 10000 mi naona nijukwaa linalojari sanaaa like na niniNgoja niongee kidogo kwenye changamoto maana trh 9 bado
Changamoto kubwa ni "kujisahau" kwa baadhi ya members wa mwanzo pamoja na wale wa after 6 months na kuendelea.......thread ilianza km movement ya kupinga manyanyaso JF kutoka kwa wakomgwe zen ikaja kuwa thread inayohusu mambo mbalimbali(vipindi mbalimbali) mfano,
Top 10
Je Wajua
Kapuku Songs
Hadithi
Old is gold
Nukuu ya leo
Update za mpira
Magazeti asubuhi
Leo ktk historia
Fix za Bitoz n.k
Hapo uzi ukawa moto na unafuatiliwa hadi na wakongwe maana nilikuwa na vitu kibao vya kijanja....kitendo cha baadhi ya member kujisahau pamoja na kujiona wapo juu na kuanza mizinguo kikafanya vipindi vipunguo(now vipo viwili tu vya kueleweka ambavyo ni magazeti tu na historia) hivyo kufanya thread ipoteze mvuto/kufuatiliwa na kisha kutawaliwa na "stori zisizoisha asubuhi hadi usiku".....
Kiukweli bila kupepesa macho thread imepoteza mvuto
...............................................
Binafsi zamani nilikuwa "najitahidi kuongea" ila baadaye nikaona siyo vizuri kuwasema watu wazima maana inaonekana ni km kujifanya "mwenye Uzi" hivyo sipendi kuongea km mtu aliye juuNini kifanyike?
Sijambomarih ahabhaa..!!..
hujambo mutoto muzuri...![]()
..??
Asante mume wa ndoto zanguPolee mama!
Pole mke wa maisha yangu...
inabidi tubadilike kwakweli Bitoz umeongea ukweliNgoja niongee kidogo kwenye changamoto maana trh 9 bado
Changamoto kubwa ni "kujisahau" kwa baadhi ya members wa mwanzo pamoja na wale wa after 6 months na kuendelea.......thread ilianza km movement ya kupinga manyanyaso JF kutoka kwa wakomgwe zen ikaja kuwa thread inayohusu mambo mbalimbali(vipindi mbalimbali) mfano,
Top 10
Je Wajua
Kapuku Songs
Hadithi
Old is gold
Nukuu ya leo
Update za mpira
Magazeti asubuhi
Leo ktk historia
Fix za Bitoz n.k
Hapo uzi ukawa moto na unafuatiliwa hadi na wakongwe maana nilikuwa na vitu kibao vya kijanja....kitendo cha baadhi ya member kujisahau pamoja na kujiona wapo juu na kuanza mizinguo kikafanya vipindi vipunguo(now vipo viwili tu vya kueleweka ambavyo ni magazeti tu na historia) hivyo kufanya thread ipoteze mvuto/kufuatiliwa na kisha kutawaliwa na "stori zisizoisha asubuhi hadi usiku".....
Kiukweli bila kupepesa macho thread imepoteza mvuto
...............................................
Kama kawaida shem ile mbio ulinikimbia skuile sina hamuleo kukesha vipiiii

hahahhh leo tunakesha lee kaenda clubKama kawaida shem ile mbio ulinikimbia skuile sina hamu
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu ipo hivi mleta kipindi mfano magazeti anapoona hatumpi respect inamvunja moyo japo hawezi kusema..... Hata ww Unaweza kuyarudisha hayo maujanja kwa kubuni kitu na siyo kutegemea fulani ndo afanyeSasa kwanini yale maujuz yasirudishwe ili kiwavutia watu wengi but mimi naona tukiwa hivi ni salama salmini kuliko kuwa wengi alafu ukikosa tu kuwa online dakika mbili reply 10000 mi naona nijukwaa linalojari sanaaa like na nini
Kapuku oyeeeee