Makapuku Forum

Makapuku Forum

0298e8dfbb6e890df11a87c8d289831d.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Lakini hata jinsia yake ni tofauti labda ndio maana
 
Shem wacha na mimi niseme Amen kwa maombi hayo mliokuwa nayo na baba mtumish jambilo ila tahadhar usimtaje taje huyo mtu mshana jr maana nasikia anauwezo wa kukuchukua usiku kutoka kwenye mikono ya mtumishi akakupeleka kwake mkaimba na kusifu saaaaana na asubuhi akakurudisha kwa mtumishi ukiwa hoi na nadhan itabid iwe siri yako tu na wewe mtumish hutowesha mwambia..
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Shem pumzi haikati ila tuna-play kotekote ukipata chansi unachungulia huku kujua hali ya mtoto mzuuuur sana amaizing anaendeleaje pamoja na mashemeji zangu wote mnaendeleaje maana vipanga ni wengi mno...
Hakika...ukiona wanamnyemelea mpaka mama mtumishi ujue hali ni hatari kuliko inavyofikirika. Abiria chunga mzigo wako
 
falcon mombasa kama una swali lingine uliza kabisa Kabla mshana hajaenda msata na kufanya mambo yake
Sasa uwepo wa mshana hapa unaogopesha,meditation zitafanywa humu,watu watarogeka humu,nazi zitavunjwa humu,
Uzuri wa mshana jr hapa hajawahi kufurukuta, hata couple aliyowapa limbwata pia ilivunjika siku moja baadae,
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom