Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,939
- 8,883
IPO Chit Chat Mkuuwapi huko twende
IPO Chit Chat Mkuuwapi huko twende
Amina amina kondoo wa bwana. Huduma ya kuungama ipo,ila tunachaji 10'000= kwa kila dhambi ndogo,kiwango kinapanda kulinga na ukubwa wa dhambi,utapigiwa gharama baada ya maungamo mpendwa katika bwana...Hapa ni hela tu,,,kazi kwa Ngosha.

Sasa uwepo wa mshana hapa unaogopesha,meditation zitafanywa humu,watu watarogeka humu,nazi zitavunjwa humu,

tunatumbua majipu tu mkuu..Kwema kabisa mkuu,mambo vipi?
Shem wacha na mimi niseme Amen kwa maombi hayo mliokuwa nayo na baba mtumish jambilo ila tahadhar usimtaje taje huyo mtu mshana jr maana nasikia anauwezo wa kukuchukua usiku kutoka kwenye mikono ya mtumishi akakupeleka kwake mkaimba na kusifu saaaaana na asubuhi akakurudisha kwa mtumishi ukiwa hoi na nadhan itabid iwe siri yako tu na wewe mtumish hutowesha mwambia..

Hakika...ukiona wanamnyemelea mpaka mama mtumishi ujue hali ni hatari kuliko inavyofikirika. Abiria chunga mzigo wakoShem pumzi haikati ila tuna-play kotekote ukipata chansi unachungulia huku kujua hali ya mtoto mzuuuur sana amaizing anaendeleaje pamoja na mashemeji zangu wote mnaendeleaje maana vipanga ni wengi mno...
falcon mombasa kama una swali lingine uliza kabisa Kabla mshana hajaenda msata na kufanya mambo yake
Sasa uwepo wa mshana hapa unaogopesha,meditation zitafanywa humu,watu watarogeka humu,nazi zitavunjwa humu,
Uzuri wa mshana jr hapa hajawahi kufurukuta, hata couple aliyowapa limbwata pia ilivunjika siku moja baadae,
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Usitafute mchumba, omba upate mke..imeandikwa hivi:;Mkuu si unajua sina mchumba mimi
Manuu kuwa machoNaomba niwe naibu manuu
Domo zege mbuluMaliza kabisa kaka,ntakutoa mkuu
Very poor approachMaliza kabisa kaka,ntakutoa mkuu
Jomena mlima mrefu mbulu dhaifu atakimbia
Poa poaIPO Chit Chat Mkuu
Hee...!!