Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
falcon mombasa kama una swali lingine uliza kabisa Kabla mshana hajaenda msata na kufanya mambo yake

falcon mombasa kama una swali lingine uliza kabisa Kabla mshana hajaenda msata na kufanya mambo yake

Sasa uwepo wa mshana hapa unaogopesha,meditation zitafanywa humu,watu watarogeka humu,nazi zitavunjwa humu,
Mbio fupiWengi sana wamezoea mbio fupi.
Mimi nipo mkuu.
Mimi simo.Mbio fupi![]()
![]()
![]()
Au ndo wale wa match za mchangani?
Majibu mazuri sana umetoa Mkuu Mshana Jr.Famous slogan representing JF upcoming members and future great thinkers
mshana jr hana shida,tumemuamini tumempa kazi ya ulinzi.Sasa uwepo wa mshana hapa unaogopesha,meditation zitafanywa humu,watu watarogeka humu,nazi zitavunjwa humu,
Ndiyo maana nasema ni vigumu kuwaelewa sana wanawake.
Na hamta wezaNdiyo maana nasema ni vigumu kuwaelewa sana wanawake.
Sawa mkuu,shukrani.Sawa makapuku gudluck
Karibuni siasani
Sasa huyu anaenda wapi?Na hamta weza
Asante sana. Sie siasa zipo humuhumuSawa makapuku gudluck
Karibuni siasani
