Makapuku Forum

Makapuku Forum

Amina amina kondoo wa bwana. Huduma ya kuungama ipo,ila tunachaji 10'000= kwa kila dhambi ndogo,kiwango kinapanda kulinga na ukubwa wa dhambi,utapigiwa gharama baada ya maungamo mpendwa katika bwana...Hapa ni hela tu,,,kazi kwa Ngosha.
sasa mi sitakuwa na hela ya kulipia hizo dhambi zangu, ngoja nimpm baba mtumishi jambilo labda atapunguza bei mana we unakaza sanaaa
 
db50f648c5769b9fc62279d2c6e178ed.jpg
e78537250bd61070336f93ee8fb6ae94.jpg
a08f16f1aaa5d762980011acee8d2059.jpg
5f4392118c67d7f15f3a38c0a0952e61.jpg
1a67bf947ea8332843dd5fa387edb02f.jpg
a94e89f33ccc101677876156a8eacda9.jpg
5d0c26cfc01c4bc2f9ded8d5390bd3d1.jpg
dfa8aac08d52267a2c1370cc939438fd.jpg
f5d94ae028044ccb9644a3917f569223.jpg

KAPUKU nimewakilisha

...............
 
sasa mi sitakuwa na hela ya kulipia hizo dhambi zangu, ngoja nimpm baba mtumishi jambilo labda atapunguza bei mana we unakaza sanaaa
Ohoo naona mama mtumishi ananiharibia huduma, natangaza mimi natoa huduma na maombi bure, japo sadaka lazima lakin hakuna kiwango, wakorintho...imeandikwa...kila mtu na atende kwa moyo wa kupenda na si kwa kulazimishwa
 
Ohoo naona mama mtumishi ananiharibia huduma, natangaza mimi natoa huduma na maombi bure, japo sadaka lazima lakin hakuna kiwango, wakorintho...imeandikwa...kila mtu na atende kwa moyo wa kupenda na si kwa kulazimishwa
Basi ntakuja fastaaaaaa..... Niungame tayari kwa kuanza kutenda dhambi upya
 
Nimemuona Anko Magu live
Interesting
..............
Duuu jamaniiii rahaaa umeenda siku nzuri sana, jitahidi upige nae japo selfie...... Ukishindwa kuiweka hapa nitumie hata inbobo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom