Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Mshana jr anajua nguvu niliyo nayo, hathubutu kwangu alituma mizinga ghafla ikageuka kwake ikampigaje!
Mshana jr anajua nguvu niliyo nayo, hathubutu kwangu alituma mizinga ghafla ikageuka kwake ikampigaje!
Vipi shemHee...!!
Mshana jr anajua nguvu niliyo nayo, hathubutu kwangu alituma mizinga ghafla ikageuka kwake ikampigaje!

Lazima ukubali mkuu, nimevaa silaha zote Efeso6:10-13,
Tupo gud gud MANDELAA KIWELU.makapukuz niaje humu ndani?
Amina amina kondoo wa bwana. Huduma ya kuungama ipo,ila tunachaji 10'000= kwa kila dhambi ndogo,kiwango kinapanda kulinga na ukubwa wa dhambi,utapigiwa gharama baada ya maungamo mpendwa katika bwana...Hapa ni hela tu,,,kazi kwa Ngosha.
sasa mi sitakuwa na hela ya kulipia hizo dhambi zangu, ngoja nimpm baba mtumishi jambilo labda atapunguza bei mana we unakaza sanaaa

Sisi tunafuatilia.kuweni na subira
Wameamua kushusha likes za wakongwe nao sasa ni 5.....Tatizo linashugjulikiwa
Kuweni wavumilivu
.....................
Masharti labda yalikuwa magumu sana![]()
![]()
![]()
![]()
walikosea masharti
Ipo jukwa gani?Ile thread nimeanzisha msinitupe mkono
Ohoo naona mama mtumishi ananiharibia huduma, natangaza mimi natoa huduma na maombi bure, japo sadaka lazima lakin hakuna kiwango, wakorintho...imeandikwa...kila mtu na atende kwa moyo wa kupenda na si kwa kulazimishwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sasa mi sitakuwa na hela ya kulipia hizo dhambi zangu, ngoja nimpm baba mtumishi jambilo labda atapunguza bei mana we unakaza sanaaa
![]()
![]()
![]()
![]()
Daraja tamu sanaaaaa...... Hongera prezidaaa kwa kutuwakilisha sisi wengine ambao bado hatujaweza kufika hapo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
KAPUKU nimewakilisha
![]()
![]()
![]()
...............
Basi ntakuja fastaaaaaa..... Niungame tayari kwa kuanza kutenda dhambi upyaOhoo naona mama mtumishi ananiharibia huduma, natangaza mimi natoa huduma na maombi bure, japo sadaka lazima lakin hakuna kiwango, wakorintho...imeandikwa...kila mtu na atende kwa moyo wa kupenda na si kwa kulazimishwa
Ukija hapa kiu ya dhambi itakata mazimaBasi ntakuja fastaaaaaa..... Niungame tayari kwa kuanza kutenda dhambi upya
Nimemuona Anko Magu liveDaraja tamu sanaaaaa...... Hongera prezidaaa kwa kutuwakilisha sisi wengine ambao bado hatujaweza kufika hapo
Duuu jamaniiii rahaaa umeenda siku nzuri sana, jitahidi upige nae japo selfie...... Ukishindwa kuiweka hapa nitumie hata inboboNimemuona Anko Magu live
Interesting
..............