Makapuku Forum

Makapuku Forum

hatuwezi kuabudu watu wenye chuki na makapuku, wanapost upuuzi wanapewa ufagio wa milele.. Hii ni namba mpya, mapambano mapya.. Kucheka na adui ni kukubali kuuza siri zako.. Kama wao wakongwe basi sisi ni wajuzi lakini wenye Ujuzi kuliko wao...
ujumbe unawafikia na kuwaingia taratiiiiiiiiiiibu.
 
Kipengele cha kuungama kipo? Nataka nitaje dhambi zangu Kabla ya maombi kuanza,
Kuhusu baba mtumishi macho sitafumba ondoa shaka, najua udhaifu wake ni kwa madada kama mie
Amina amina kondoo wa bwana. Huduma ya kuungama ipo,ila tunachaji 10'000= kwa kila dhambi ndogo,kiwango kinapanda kulinga na ukubwa wa dhambi,utapigiwa gharama baada ya maungamo mpendwa katika bwana...Hapa ni hela tu,,,kazi kwa Ngosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom