Labda....... Lakini dhambi nazo zina raha yake mtumishiUkija hapa kiu ya dhambi itakata mazima
Oooh asante sana, ila usiseme sana wifi asije akapata wivu bureNilikumiss sana mrembo.
Mkuu, hujapata ujumbe wangu?
Viumbe wa maana sana sema kosa lipo kwetu me, hawa viumbe wazuri sana ukiwajulia japo vinginevyo ni kilio
Tamu ya muda mfupi haifai, huleta mashaka na majuto baada ya kuifanya..unajua hiloLabda....... Lakini dhambi nazo zina raha yake mtumishi
Safi shem, ila kauli yako uliyoandika imeniogopesha.Vipi shem
Ipi hiyo?Safi shem, ila kauli yako uliyoandika imeniogopesha.
Dhambi ni tamu sana haijalishi zinafanyika kwa muda gani!Tamu ya muda mfupi haifai, huleta mashaka na majuto baada ya kuifanya..unajua hilo
Naona zilikuwa mbio fupi, zishafika ukingoni masiku mengi yaliyopita.
Thus why nakukubali shem wangu.Viumbe wa maana sana sema kosa lipo kwetu me, hawa viumbe wazuri sana ukiwajulia japo vinginevyo ni kilio

Hiyohiyo niliyo quote nkaandika "Hee...!"Ipi hiyo?
Yaan siikumbuki shemHiyohiyo niliyo quote nkaandika "Hee...!"
I mean furaha ya dhambi au utam wake ni pale unapoifanya, lakini ukiondoka eneo la tukio nafsi inaanza kujuta, mfano uko na hawarako halaf peku, mkimaliza unaanza kujuta labda kwa kuachia magitaa nini! Ukianza kukohoa mashaka yanazidiDhambi ni tamu sana haijalishi zinafanyika kwa muda gani!
Hiyo ya muda mfupi labda sio dhambi kamili
Uko sawa kabisaa.......Naona zilikuwa mbio fupi, zishafika ukingoni masiku mengi yaliyopita.

Thus why nakukubali shem wangu.
Mapendo mengi kwako![]()
![]()

Usijali yuko mbali kwa sasa.Oooh asante sana, ila usiseme sana wifi asije akapata wivu bure